Habari,
Napenda kuwatangazia wafanyabiashara wa ng'ombe kuwa kuna ng'ombe 600 wote ni dume wanauzwa, kwa wahitaji karibuni.
Location ni Tanga Mjini chuo cha Buhuri.
Bei ni maelewano.
Tunauza kwa KG in terms of Live weight or Carcas Weight sio bargaining
Mawasiliano ni 0768625199
Karibu sana.
Nimehitimu diploma katika chuo cha kati cha private fani ya mifugo mwaka 2022.
Baada ya matokeo kutoka mimi pamoja na wenzangu (classmates) tukiangalia verification zetu NACTE tunaonekana tumeishia kusoma mwaka wa 1 semister 1.
Tukiulizia chuo tunaambiwa wao chuo matokeo tayari walishapeleka...
Kwa sisi wapenzi wa mpira na kisimbuzi cha Azam Tv, nilijipa muda nikachunga na kuthibitisha sisi Tanzania tunalipia pesa nyingi kununua na kulipia vifurushi vya Azam tv tofauti hata na majirani zetu Kenya na Uganda, najiuliza hivi shida yetu kubwa ni nini hadi tunalipia gharama kubwa hivi...
Habari, naitwa Hamis,
Nimehitimu mafunzo ngazi ya diploma kozi ya Animal Health and Production.
Naomba mwenye nafasi ya kunitafutia mwenzenu kazi ya kujiitolea kwanza kwenye.
Makampuni yanayo relate na Animals ntashukuru sana.
Simu namba 0627544910.
Location Bagamoyo Pwani
Msaada ndugu zangu,
Kuna mtu anamtumikisha mke wangu kwa kumtishia kurusha picha za uchi za mke wangu mtandaoni.
Naomba mnisaidie ni wapi nianzie kumdhibiti huyu
Habari ndugu zangu watanzania
Mi ni kijana umri miaka 25
Nasoma afya ya wanyama chuo cha kilimo na mifugo kaole bagamoyo mwaka wa pili
Natafuta nafasi ya kujitolea kwenye sekta ya afya ya wanyama na uzalishaji
Muda ni miezi miwili tu kuanzia september mpaka november
Members msaada, nahitaj kuapdate mannual samsung note 4 ifike android 6, kwenye web ya samsung ukitaka kidownload wanataka uchague nchi ila tanzania haipo, nichague nchi ipo hapo au yoyote tu maana kwa africa naons south africa (vodafone)
Ukinunua kifurushi cha wiki mfano vodacom assume leo trh 1/4/2021 saa 10:30 asubuhi kitaisha 7/4/2021 saa 10:30 asubuhi
Lakini ukinunua kifurushi Azam tv cha wiki mfano trh 1/4/2021 saa 10:30 asubuh wao wanakata trh 6/4/2021 saa 23:59:59 usiku
Kwanini hii siku ya 7 wasiiache hadi muda...
Ningepata muda wa kuishauri serikali yangu ningewaomba vyuo vyote vya afya visingefunga chuo kipindi hiki cha janga la korona badala yake hawa wanavyuo wangehitajika kushirikiana na wataalam waliopo katika kuendelea kutafuta suluhisho la ugonjwa huu na kuachana na dhana za kuendelea kusubiri...
Mwenye kukifahamu hiki chuo naomba anisaidie details za hapo, mazingira yalivyo na gharama za maisha zilivyo
Au kama kuna chuo kingine cha bei nafuu kinachotoa kozi ya pharmacy waweza nieleleza
Habarini
nina simu aina Ya Microsoft Lumia 640 xl dual sim
ina window 10, Ram gb 1 na 8Gb space yake, kwa mwenye interest nayo anaweza nicheki nikamuuzia ama tukabadilishana nahitaji simu ya Android
karibuni, Ahsante..!!
Kama kuna mkaz wa Mwanza na maeneo ya Jirani unahitaji kuangalia mpira bila malipo ya Mwezi contact me
0659953382 sms or Whatsap
Nnauwezo mzuri wa kuweka kwa dish kuanzia 6ft ila vizuri zaidi 8ft
Mwenye kujua shule ya Private A level yenye mchepuo wa CBG katika mikoa hii Mbeya, Morogoro na Mbeya anisaidie kunitajia majina yake, sifa zake katika kufaulisha wanafunzi na Gharama zake pia
Nawasilisha
Huyu anahitaji kusomea Computer Science ila ana F ya Phy & Math
Anaweza kwenda huyu
Kwa mwenye uelewa zaidi asaidie mawazo ila pia wazo Jipya litakua bora pia
Total Mark
C zote exept Math & Phy ni F
Ndugu zangu, naomba mtu au watu wenye uelewa mkubwa wa maisha ya masomo wanisaidie kunipatia ushauri wa kielimu
Mtihan wa kidato cha nne nna dv 3 ya 22, masomo mawili nna F, Phy na Maths
Civ nna D na Mengine yaliyobaki nna C
Advance sio chaguo langu
Msaada Tafadhali ndugu zangu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.