Jamani wana Jf mimi nimejaribu kujiunga kwenye Bongo IT facebook page nimefuata taratibu zake nimeandika jina la kwanza jina la mwisho,email yangu ,passwd ,tarehe ya kuzaliwa mwaka wa kuzaliwa baadae nika SIGN UP nikapewa neno ambalo niliandika then nika SIGN tena LAKINI HAKUNA MATOKEO YOYOTE...
Habari za jioni simu yangu ni N79 origin nashindwa inashindwa kusoma pdf nyingi yaani haziplay naomba msaada wenu wataalamu.Ikiwezekana nitumiwe kwenye email yangu ( dseverin47@gmail.com) naomba kuwasilisha
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.