Mimi nimewekwa hadi ndani kisa nadai pesa yangu, nilimfanyia kazi ya mkataba ndugu yangu, akawa analimbikiza madeni, siku deni likaja kuwa kubwa, katika kudaiana, tena alikuwa ndugu, aisee kanitia ndani, kaka kabisa, kanitia centro police, huyu jamaa anaroho mbaya japo ni ndugu yangu,
Kiwanja kipo king’azi njia ya kinyerezi kwenda mbezi, sio mbali na kwa dr ndodi, kiwanja, umeme na maji vipo hapo hapo, bajaji kwenda mbezi ni buku, pikipiki zipo, magari ya kukatiza route kutoka mbezi ni mia tano,
Eneo lina ukubwa wa hatua 23 kwa 20
Bei million 7.800,000/=
Pazuri sana piga...
Kichwa cha habari.. kinajieleza.
Naomba msaada wa kitabibu. Nilipata amiba kama mwezi sasa.. nikanywa dawa... nikapona.. lakini sasa... napata choo chenye damu mbichi na iliyo ganda. Ingawa ninatatizo la bawasiri... ambayo haiumi sisikii maumivu.. nilisha pona lakini kwanini ninamwaga damu...
Natafuta mwanamke
1. Mimi ni Me
2. Umri wangu 32
3. Elimu ninayo
4. Tall & black hivi
5. Ninakazi ya kuniingizia kipato
Ninaye mtafuta awe
1. Mwanamke mstahalabu mkristo
2. Umri 17 hadi 30
3. Msomi
4. Awe anajishughulisha
5. Awe serious kinyume na hapo sihitaji
Nipo MOROGORO
wenzio kwa age ya 23 tulianza kumiliki kiwanja Dar es salaam, kufikia 27 tulinunuwa magari, sio kwamba ninajisifu, maisha ni yako mwenyewe, hakuna mtu atakuja kukuletea kapu la mafanikio, heshimu fedha iwe ndogo au kubwa, matumizi sahihi, maamuzi sahihi, mademu pembeni kwanza, jitume jibidishe...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.