Nina kaka yangu kaajiriwa kwenye kampuni fulani ya mafuta ya mwarabu hapa Dar. Kazi yake anamuendesha Tajiri mwenyewe
Anamuendesha Tajiri siku nzima anazungusha tu Nissan v8.. ikifika mwisho wa mwezi mshahara take home 220,000 mtu ana familia halafu anamuendesha Tajiri anayeingiza mabilioni kwa...
Ni mda hawa vijana wa Suma JKT yaliskika malalamiko mara wanapiga watu kwenye malindo yaani ni watu wavurugu vurugu sometime kama wana sress za maisha, wengine sehem nyingi wamekuwa wakipoteza malindo kama mwendokasi, pale ferry siwaoni tena sijui shida yao ni nini.
Lakini tukirudi kwenye mada...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.