Wanajamvi na wanaspoti habari za wakti huu....
Nitangulie kutoa Pole kwa Wanayanga wenzangu,ila pia nitoe pongezi kwa viongozi,socialites & pundits wote ambao ni wanazi wa simba kwa kuzika madhaifu ya timu yao,kwa kusajili magalasa na kukosa vikombe[nbc pl[emoji777]️,Azam sports...
Orodha hii[emoji116]ni mtazamo binafsi wa watu ambao ukianzisha nao mgogoro (battle) basi itakubidi jeshi lako ulipange vizuri,la sivyo utasalimu amri,au kuomba msaada (poo) au kusubiri huruma za wananchi kwako,maana mapambano yao ni 'weka ugoko,niweke jiwe' ni nondo baada ya nondo,nadhani...
Habari ,nimeshawishika kutaka kununua simu used from abroad ambazo zinauzwa na kunadiwa mitandaoni, hii ni kutokana na kigezo kimoja tu cha bei, kwani nyingi ni za viwango na ni za matoleo ya hivi karibuni, pia bei zake ni affordable ukilinganisha na bei ya simu hizo kama utazinunua kwenye...
Wakuu habari, niende moja kwa moja kwenye mada, nikiwa nmezingatia visababishi vyote vya mafua km vumbi, manukato, moshi na vyote vinaavyofanana na hivyo, bado mtoto mafua hayaishi.
Hospital wanadai ni hali ya kawaida, nilishauriwa apate Dr cold syrup imedunda, Cetrizen syrup imedunda.
Msaada...
Habari wadau wa ujenzi,naomba ufafanuzi juu ya tiles/vigae,ni criteria zipi/au kipimo gani/tunaangalia nini na nini kujua tiles hii ni bora?
Hapa nazungumzia tiles za sakafuni especially za kuweka vyumbani, sebuleni, kibarazani, koridoni na sio jikoni na vyooni.
Je bei kuwa kubwa ndio tiles...
Habari za muda huu, nitafupisha stori ila mwisho wa yote naomba ushauri maana jukwaa hili lina wadau wengi ambao pia huenda yashawakuta au yamewakuta ndg, jamaa, rafiki wa karibu au pia hata kuwahi kusikia haya nitakayoyaeleza.
Iko hivi, nina staff mate wangu ambaye anapenda kuvalia njuga...
Wakuu habari,kwa mwenye uelewa juu ya masuala ya kibenki au aliyewahi kuuza deni kutoka bank moja kwenda nyingine.
Kiufupi nimeomba loan balance kati ya moja ya bank pendwa ili salio la deni langu lilipwe na benki nyingine inayokuja kwa kasi na yenye riba nafuu,sasa nilichokutana nacho ni kiasi...
Wadau habari,nilinunua simu (tecno-spark7) smartphone mpya K.koo,shida inaji_restart,Carlcare (mafundi maalum wa tecno phones) nimeenda bado hali ni ile ile.
Duka nililonunua wanasema wanaoweza kunipa/kunibadilishia simu mpya ni hao hao Carlcare baada ya kushndwa kufix problem kwani wao na...
A.alleikhum,naomba kuelekezwa namna ya kurekodi calls,ongoing & incoming,kwa maana ya namna gani au ni kitufe kipi nibonyeze ili niweze kurekodi maongezi.
Device ni Samsung A12
Natanguliza shukrani za dhati...
Wadau habari,kumejengeka utamaduni usiofaa wa kubeza,kukejeli na hata kutusi pale wawakilishi au muwakilishi wetu kwenye shindano au mashindano fulani anapo_fail. Binafsi sijui roho hii mbaya wa_tz tunaitoa wapi,mahala tunapopaswa kusikitika tunafurahi,tunapopaswa kumtia mtu moyo na kumfariji...
Wakuu habari,kimsingi sielewi km ni sahihi kwa anachokifanya huyu mwandishi,kutwa kucha kuikejeli Young Africans. Kwenye utaratibu huo wa post zake za kuitweza brand kubwa ya Yanga kuna matangazo ya Dstv,M_bet na Asas.
Mbali na kutafuta umaarufu mavi[emoji90],mwandishi huyu anaitumia yanga...
Nitashambuliwa ila ukweli na uongo havipikiki chungu kimoja,leo Simba Day imepoa sana ndugu zangu,nnaweza kutafsiriwa vibaya ila Ona hali ilivyokua saa 2:00 Asbh siku ya Wananchi na hali ilivyo muda huu saa 6:30Mchana Simba Day
Hakika Yanga wana mashabiki wengi na wanaohamasika na kuchukua...
Wakuu habari,pasi na shaka wengi wetu tumewahi kuhudhuria kwa mganga/waganga wa kienyeji kwa shida mbalimbali za miili yetu na maisha kwa ujumla.Nishee nanyi visa/madhira niliyowahi kuvisikia toka kwa watu wangu wa karibu ktk kutafuta uzima kwa wataalamu hawa;
1. Mzee jirani alipelekwa baharini...
Wanajamvi Habari,unaweza usiungane na mimi ila ukweli utabaki kua ukweni,nia,lengo,utekelezaji na manufaa/faida ya shughuli ya Young Africans SC "Yanga" kuanzia kwenye wiki ya wananchi mpaka kilele chake yanaonekana.
Tukianzia Wiki ya Wananchi,hapa timu yenye historia kubwa,mabingwa mara 27 wa...
Habari wanajamvi, tangia dakika 90 ziishe (Simba 0_Yanga 1) nimebaini kupitia mashabiki kindaki ndaki wa timu hizi yakuwa ni raha sana kumfunga mtani ikiwezekana nje ndani yaani 1st & 2nd round kuliko kuchukua kombe la ligi(Vpl).
Utafiti huu umehusisha wapenzi wa SSC na Young Africans...
Picha inajieleza,Mzee Mpili Ameridhia, kila la heri Young Africans,Mabingwa wa Kihistoria[emoji123],Yanga ya Wananchi[emoji172][emoji169].
Naiona timu yenye matokeo mkononi ikienda kula kichapo,naiona timu yenye matumaini ikienda kupata aibu ya mwaka,nawaona Red Cross na Askari wakihangaika...
Wanajamvi habari,baada ya mteule huyu wa Mwigulu Nchemba mwenye jukumu la kuhamasisha watanzania wanyonge kulipa kodi kwa hiari kupost jokes,wanyonge wamemuelewa tofauti hali iliyopelekea kufunga comments kwenye post hiyo...raia hawataki jokes
[emoji116]
Habari wakuu,modem yangu (vodacom) inakata mtandao, yaani sometimes yes, sometime no na muda mrefu inaandika No Service.
Najua humu wapo wajuzi zaidi,
Natanguliza shukrani za dhati kwenu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.