Maisha now hayaeleweki,kupata pesa kunaweza kusichangiwe na elimu kubwa uliyonayo bali connection,ujuzi,lugha nzuri kwa wateja unaowahudumia kwa service unayotoa na uaminifu.
Ni kweli wapo madogo wengi wamejipata kitaa,tena wenye elimu tu ya FIV plus vyuo vya ufundi na vyuo vya kati,wanajituma...
Yako mambo mengi nyuma ya pazia yanayoendeshwa kisiasa,kwa muda mrefu raia/taasisi binafsi zmeyakalia kimya,now watu wanaamka kui_challenge gavoo,hii ni bad alert kwa mama.Suluhu itafutwe as soon as possible
Guede gari halijapata moto tu,ila ni striker mzuri,attempts alizofanya game zilizopita before game ya leo na Polisi TZ zilinitoa hofu kuwa 1day atafumania nyavu...Hatimae amefungua akaunti ya magoli
Nikikumbuka zuio alopewa ADB na Ubalozi wa Marekani kutokanyaga U.S mpaka leo najiuliza,ni kwa ushahidi upi mpaka U.S ikampiga Ban ilhali Bongo huyu mtu ni msafi!
Kwa mujibu wa zuio lile moja ya sababu ilitajwa kuwa ADB anadhulumu haki ya uhai wa binadamu,elewa neno kudhulumu haki ya uhai[emoji24]
Mwamba anaupiga mwingi mpaka unamwagika,natamani hapo baadae Inshaallah aje kuwa Rais wa TFF (Ila baada ya kuipa Yanga[emoji172][emoji169][emoji123] Makombe 10+ ya ligi,na walau makombe ma 3+ ya CAF)
Uongozi Bora,Mabadiliko ya Kimuundo na Kiutendaji,Uwazi,Ushirikishwaji,Usasa (mbinu za kuongoza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.