Napangisha na Nauza Nyumba namba 279 mabibo jitegemee
Nyumba ipo mabibo mita 300 kutoka NIT kuelekea mabibo makutano ina apartments sita na frem nne bei ni Tshs 150000 ,120000 kwa apartsment na 100000 kwa frem
280 million kwa nyumba yote
Wazee wengi hawatuamini Vijana kutokana na Mazingira yetu ya kujifunzia Kuwatia hofu
Lakini sisi vijana ndo injini ya mafanikio yao hao wazee wao bila sisi hawawezi sisi bila wao Vurugu
Nimeajiriwa na familia yangu Kuendesha duka lililokuwepo miaka 29 kabla sjazaliwa Na linasonga Front kwa kasi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.