Mimi / sisi m /wakaazi wa eneo la VIKUNAI, MANISPAA YA TEMEKE, jirani na mradi wa NSSF KIJICHI, kwa mujibu wa taratibu za usafiri na usafirishaji, tunazo gari za RUTI tofauti kuna za TEMEKE - VIKUNAI kupitia KIJICHI na zingine ni za VIKUNAI - STESHENI kupitia Mbagala Zakhiem.
Naanza na hizi za...
Kwa kweli hata mimi nimeshangaa sana maana yake katika sehemu za nchi nilizowahi kuzitembelea MISUNGWI ni moja wapo nakatika sehemu hizo hizo moja ya kazi ama jukumu ilikuwa ni kuonana na uongozi wa maeneo hayo ukiwa wa chama na wa serikari pia, Misungwi ninayoijua kwa kweli huyu Bwana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.