Jamani kwa nini tunachoka kufikiri? kwa nini udini uchukue nafasi namna hiyo? inanipa mashaka na maendeleo ya nchi yetu kama vijana tunang'ang'ania udini kama hivi! Badala ya kujadili hoja za msingi na zenye kuleta tija badala yake tunajadili eti composition ya time imejaa wakristo...hebu...
Aisee mbona umechemka sana? degree ya Kikwete imetupeleka pabaya! umedhihirisha kuwa hauko makini na unachokinena..nakushauri usome posting za kwenye JF kisha uzitafakari ujibu ikiwa na uhakika wa unachokiandika..usitupotezee muda wa kusoma pumba zako! (Nimei-highlight red kuonyesha kuwa ni...
Hakika CCM inadhihirisha kuwa haiko madarakani kwa ajili ya Watanzania..wako kwa maslahi yao binafsi. 2015 CCM tuipige chini haitufaia hata kidogo..wanaturudisha nyumba kimaendeleo! Leo wamefanya hujuma mpaka Mh. lema kuondolewa kwenye ubunge lakini wanatafuta fedheha zaidi kwani Lema atarudi...
Siasa inaonekana nin tamu sana! siku zote ccm wanachelewesha kutoa matokeo pale wanapojua kuwa wameshindwa! dalili zingeonyesha ccm kushinda! mpaka muda huu matokeo yangekuwa yameshatangazwa! Magamba yanatakiwa kuisha....
Yaaani ni hivi ccm haina lake Arumeru! ukweli ni kwamba sasa hv wanatoa hela sambamba na kuiba kura~!n inasikitisha sana wanaficha kura hata kwenye chupa za chai? ama kweli huyo Sioi wanamdharirisha kutaka ushindi wake upatikane kwenye thermos...
Vizuri ila tambua kuwa peasant mzuri lazima awe na taarifa za nini kinaendelea katika nchi yake hasa ndiyo lengo la jumbe huu kuwekwa wana JF wajue! wewe kama hii taarifa haikuhusu uko primitive sana! Pole sana ndugu yangu....waache inayowahusu waendelee kuhabarishana!
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI WATEJA WAONGEZEWA MUDA KUREKEBISHA TAARIFA BENKI BENKI Kuu ya Tanzania imeongeza muda wa mwaka mmoja kwa wateja wa benki zote nchini kuboresha taarifa zao kuanzia kesho Machi 15, 2012 hadi Machi 14, 2013. Benki na taasisi zote za fedha zimejulishwa kuzingatia...
Wana JF tutambue kuwa kufaulu kwa mtoto katika mitihani yake, kuna vitu vingi vyakuangalia na si swala moja la wazazi! Mazingira yana % zake, wazazi wana %, walimu wana % na mtoto mwenyewe ana % zake. Kutokana na hayo makundi si vizuri kuhitimisha kwamba mzazi ameshindwa kumuelimisha mtoto wake...
Sory nimemaanisha TZS. 50,000/= (Elfu hamsini tu)
Mchanganuo wake unategemea kwa wakati huo ni biashara gani unataka kuanza nayo..mf. kuna bishara ya mitumba....silazima uanze na nguo nyingi au viatu vingi...., kunabishara za matunda.......n.k ni nyingine ambazo kwa kiasi hicho...
Ndugu wana JF, napenda kushiriki nanyi ili kujua namna ambavyo TANESCO wanavyofanya kazi.
Kwa mtizamo wangu, naona kama vile hili shirika halina uzalendo na wala moyo wa kuwezesha maendeleo ya nchi. Maana yangu ni kwamba, TANESCO ilitakiwa kuja kuweka umeme kwenye mtaa wetu toka mwaka 2008...
Kwa wale wote wenye taaluma na wasio na taaluma yoyote napendekeza yafuatayo:
1. Tambua kipaji na mtaji wa asili ulionao.
2. Badili mtizamo wa kimaijsha.
3. Kujitambua wewe na thamani yako katika uzalishaji
4. Kutambua umuhimu wa rasilimali uliyonayo i.e Knowledge and Skills are assets for...
Wadau! Tayari walishaitwa kwenye usaili wa awamu ya kwanza i.e written interview tayari, pengine watakaofanikiwa kwenye hiyo ya kwanza ndo wataitwa oral! Kama haukuitwa jaribu tena zikitangazwa.......wiki imeisha toka walivyoitwa.
Hey guy! For sure I do agree for your statement. Let us not spend time in thinking about others! Let us think of innovation and making new things. Thats why I can say, most of we Tanzanian we are not developing ourselves because okf numberal of factors. LET US CHANGE OUR MIND SENT!
What are u...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.