Stupid Leaders now showing out their true colors. Workers have got no sound mind representatives. I wonder how they allow their meagre salary to be deducted for these useless suckers in the name of Union Leaders.
Mtu asiyesimamia msimamo wake ni kibaraka wa fikra za wengine na huyo Polepole ndivyo amajipambanua na mwenzake Bashiru baada ya Kutupa agenda iliyowabeba ya Katiba Mpya Tanzania (Katiba pendekezwa ya Jaji Warioba). Hawa ni watu wa kupuuzwa
Hicho ni cheo cha kati .....cheo cha juu wameridhika maana wanapewa kila wanachotaka.....na cheo cha chini hawana uwezo wa kupindua (hawana connection bado)
Imani Yako nguvu Yako, ukitaka kujua Mungu yupo amini halafu omba lolote likitokea umethibitisha Imani Yako. Biblia inakusaidia tu kujua sheria za Mungu na taratibu
Sina uhakika kama umeongea fact au unadhania......pesa ya MO Dewji uiingize kuwa hifadhi ya taifa? Tena useme unaweza kuinunulia ugali wa nchi kwa miezi 7? Can't be serious
Wapo hawa? Au Wizara ilianzisha hapa Uzi wa maswali ikautelekeza?...Swali: Wale tuliochanja kabla vyeti vya kielectroniki havijaanza tunapataje vyeti vyetu?
Bujibuji Mama Mary Chipungahelo nadhani ndiyo aliyefariki wiki hii na leo wanamuaga hapo St Albany Cathedral Karibu na Holiday Inn. Atazikwa leo jijini
Utawala ndiyo unapenda kuweka watu wao bila kujali unyeti wa kazi wanazowapatia. Unawezaje kumchukua ndugu yako au mtia Mia wa Chama tu na ukampa cheo cha DED au RAS bila kujali hata kama umemtoa mtaani hajui hata ABCs za Utumishi wa Umma.
In fact hata katika Chama wanatakiwa ku lobby wapate...
Ni wajinga tu wanaoweza kushangilia Sukuma Gang. Hata wanaoitwa Sukuma Gang siyo wasukuma. Yeyote aliyekuwepo madarakani alipachikwa Sukuma jambo lisilo la kweli. Kama kweli mtaendekeza hilo na kweli Lake Zone iungane kufanya ukabila mtatokea wapi? Ni kweli kuna makabila fulani wamezoea kuwa...
Wapinzani wa CCM wakijipanga vizuri huu ndiyo wakati wa kuchukua nchi kwa mafungu mafungu. ACT ZNZ wamemaliza na bado Kwa Mpango wakitangaza wakaulize na wengine watakaotemwa.
Wajipange kuongea na jamii waondoe kidogo kidogo wala wasianze papara mara wamemtukana huyu na yule.
Kwasasa ikiwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.