Namtafuta mwenye ujzi wa kutengenza vyakula vya mifugo tuude kampuni twende benk ya kiislamu iliyoanzishwa jana tuchuke mkopo usio na riba tujiajiri wenyewe hii tabia ya kuipigia serikali magoti kuomba ajira na ujuzi tele kichwani ni kujidhalilisha.
Nauza sukari kilombero 25kgs kwa shilingi 48,500/= kwa wanunuzi wa Dar tuu. usafiri kwako oder isipungue mifuko 100. piga simu 0683-501-203 wahi haraka kuna stock kidogo.
Huyu mwanafunzi lazima atakuwa anatoka kwenye familia za mafisadi ambaye kwake elimu kwa ajili ya kujipatia maendeleo yake yeye mwenyewe na taifa lake siyo priority tena. Yeye akili yake yote ipo kwenye kuponda mali ambazo wazazi wake wamejilimbikizia KWA KUHONGA MADEMU. Laana ya mwenyezi mungu...
Sawa ongeza taarifa zifuatazo:
shule gani na ulisoma masomo gani.
kuuza duka la aina gani , wapi na kwa kipindi gani.
stationary wapi na kwa kipindi gani.sula la speed siyo issue kwangu.
Uwe tayari kuingia mkataba mrefu.
Pia kama una wadhamini wanaoaminika nifahamishe.
Please go direct to the point!!!. If some body questions your credibility and you want to clear your self just give your detailed CV. hapo ndipo mtu anaweza kuanzia uchunguzi wake na akishaondoa mashaka yake mara moja uta pata ajira. hili suala la oooo mungu ananijua halisaidii mimi nimekueleza...
Huyu dada uwezo wake wa kujieleza na kujenga hoja ni mkubwa sana. pia ana uwezo mkubwa sana wa kufanya risk analysis.Na mimi binafsi ningependa sana kufanya naye kazi maana siyo rahisi matapeli wa dar kuingia nyumba/biashara aliyokabidhiwa yeye lakini nimefuatilia huku jamvini amejiunga juzi...
jamani taarifa kama hizi siyo ngeni, nakumbuka hata TAC- Tanzania audit corporation waliokuwa wamepewa jukumu la kukagua hesabu za mashirika ya umma waliandika sana taarifa kama hizi lakini hakuna kilichofanyika mpaka mengi yakafa na yale machache yaliyokuwa yanatengeza faida yakauzwa . Lakini...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.