Habari za wakati huu wana Jukwaa wenzangu, mm mdogo wenu nilifanikiwa kuomba vyuo vinne na namshukuru mungu majibu yametoka nimechaguliwa vyuo vyote hivyo nimekuja hapa kuwaombeni mnipe ushaur wenu ni chuo gani na koz gan nzur niconfirm itakayonisaidia hapo baadae.
Vyuo na kozi hizo ni;
1...
hi wana jf kwa mwana jf yeyote ambaye anauza blog kwa bei ya sh 10,000 so zaid ya hapo iliyo fresh anibip kwa namba 0678895505 mimi nitamshukia hewani tufanye biashara fastaaa!!!!!!!!!!!!!!
Hi jf member kwa yeyote anayejua kutengeneza website ile ya bure (blogspot.com) naomba anisaidie kutengeneza coz nimefanya kila njia kwa ajili ya kutengeneza ila nimeshindwa nitamtoa hata ya soda jamani anayeweza please nisaidie Nichek 0678895505
Hi jf member kwa yeyote anayejua kutengeneza website ile ya bure (blogspot.com) naomba anisaidie kutengeneza coz nimefanya kila njia kwa ajili ya kutengeneza ila nimeshindwa nitamtoa hata ya soda jamani anayeweza please nisaidie Nichek 0678895505
Jamani samahanini nyote kwa usumbufu kwa heshima na taadhima ningeomba kwa yeyote yule ambaye anayejua vyuo vya kusomea utangazaji wa radio huku arusha na moshi ningeomba anifahamishe ila hata kama huvijui uyuo vilivyoko arusha na moshi ila kama unajua sifa/vigezo vya kujiunga na chuo chochote...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.