karibuni ktk channel yangu ya YouTube ambayo ni Kipingu TV naombeni wadau msiache ku subscribe. Hapo utapata video mbalimbali za kisiasa,michezo nk
napokea ushauri maana mi bado mwanafunzi ktk suala hili.
Bonyeza link hii ikupeleke ktk channel yangu
Kipingu TV
Nimeshangazwa sana na sikuamini masikio yangu baada ya muuzaji mzoefu wa madawa ya kulevya kukiri viongozi wa dini wanahusika na uchafu huu.
Kijana ajulikanaye kwa jina la Zungu para akihojiwa na mwanaharakati Kalapina kupitia kipindi cha harakati clouds TV leo saa moja na dk20 jioni amesema...
Airtel wamebadili vifurushi vya internet kutoka 1gb hadi Mb70 na zile zazamani za yatosha nazo ni 70 tu. Kwasiku ni mb10 tofauti ya mb2 za tigo na voda. Hii inazidi kufanya internet kuwa ghali zaidi Tanzania.
Nadhani Lengo ni kupunguza wimbi la vijana kushinda internet kupost vitu visivyo na...
Nilinunua umeme wa luku kwa nmb mobile token ikaja lakini ile ya screen tu. Kawaida huwa inakuja sms ya kawaida. Chakushangaza sms ya kawaida haikuja. Sasa naomba wadau mnisaidie Kuona screened sms kwenye Simu yangu ya tecno P5.
Nilinunua umeme wa luku kwa nmb mobile token ikaja lakini ile ya screen tu. Kawaida huwa inakuja sms ya kawaida. Chakushangaza sms ya kawaida haikuja. Sasa naomba wadau mnisaidie Kuona screened sms kwenye Simu yangu ya tecno P5.
Habari nilizozipata punde nikuwa basi la abiria toka Moshi kwenda Mwanza jioni hii limepata ajali baada ya tairi la mbele kupasuka. Habari zaidi zitafuata.
source:RFA.
Tumeshuhudia kadhia nyingi sana nchini Tanzania na ulimwenguni kote na sasa nimegundua kitu.
Karibuni tulishuhudia shekhe maarufu Tanzania akiamuliwa kulala chini akiwa na joho lake pamoja na kujitambusha kuwa yeye ni shekhe Nurdin Kishki pia akimtambulisha muft wau Oman. Pamoja na hayo...
Background kwenye adobe photo zimejifunga na nimeshindwa kufungua kabisa. Nimejaribu kugoogle lakini njia ninazopata hazisaidii kabisa Ku unlock background. Nimejaribu Ku double click na kuweka layer lakini wapi! Na hii ndio njia niliyoikuta kwenye mitandao.Natumia window ya ultimate. Natumaini...
Kuna cases kama mbili hii nimezipata toka kwa jamaa zangu wa karibu.
1. Jamaa yangu aliibiwa kwa M-pesa shilingi milioni kama na nusu hivi!
_ pesa zilihamishiwa account nyingine na kutolewa tena kwa awamu awamu.
_ Mzee alikuwa na miradi yake midogomidogo hivyo alikuwa hategemei sana...
Jamani mi napenda sana smartphone tachi screen lakini kwangu ni tatizo.Tatizo langu ni kuwa ninapoandika kwa ncha za vidole nahisi moto,nikamaliza kuandika kama ni sms kidole utadhani nimeungua na kujaa maji ya malengelenge na maumivu.Niliwahi kuwa na samsung nikaisukuma nikachukua simu yenye...
Unauza duka. Una mawe mawili ya kupimia kwenye mizani. Jiwe la kwanza lina kilo 10 na lapili kilo 7. Sasa anakuja mtoto anataka sukari kilo moja je,utampimiaje?
Nilitarajia kusikia sauti ya Bisimba na LHRC wakisema kitu baada ya tukio la kupigwa risasi ya moto shekhe Ponda. Kimya chao kinanipa tafsiri tofauti na malengo yao wanayodai kuyasimamia.
Kinachosoma kwenye ubongo wangu wao wanaona ni halali kwa Shekhe Ponda Kupigwa risasi lakini ingekuwa ni...
Nikiweka modem ukikonekti tu inakata pia kanatokea kaalama usb, ukikaclick kanaleta baloon kanakwambia reset. Unafanya hivyo kisha zoezi linjirudia ukikonekti inakata tena. Nimejaribu nimeona kwenye ports zile serial universal bus moja wapo inakuwa na alama ya kushangaa ya njano . Nimejaribu ku...
1. Gujarat, India, earthquake 26 Jan 2001
2. The Rhodes earthquake 26 June 1926
3. Taiwan earthquake 26 April 2010
4. Japan earthquake 26 Feb 2010
5. N E Japan earthquake 26 May 2003
6. N E Japan earthquake 26 July 2003
7. North America earthquake 26 Jan 1700
8. Yugoslav earthquake...
Watu wanakufa AFRIKA YA
KATI,CONGO,SIRIA YAPATA
MWAKA WA 2 SASA LAKIN
BARAZA LA USALAMA LA UMOJA
WA MATAIFA HALIJATOA JESHI
WALA BARAKA KWA NCHI INAYOTAKA KUINGILIA KIJESHI
sababu......... ila MALI
ilipotangaza kuwa upande wa
kaskazini utatumia sheria za
KIISLAM baraka na MAJESHI...
Mnapokuwa single kabla ya kuoa ukiwa marafiki au rafiki basi mnaelewana sana lakini once mnapooa urafiki hupungua au mnaweza kugombana. Tatizo hapa ni wanawake kuwa na fitna ndogondogo juu ya rafiki yako au baina ya mke wako na mke wa rafiki yako. Maneno huanza kidogokidogo na mwisho urafiki...
PESA INA MAJINA MENGI SANA.
kwenye ibada inaitwa SADAKA,
kwenye msiba inaitwa
RAMBIRAMBI, shuleni inaitwa
ada/karo, kwenye vyombo vya
usafiri inaitwa NAULI, ukinunua haki inaitwa RUSHWA,
ukimdhaminia mtu
mahakamani inaitwa
DHAMANA, mengine
nimesahau,,muwe na jioni
njema wapendwa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.