True unakuta mtu hamtunzi mke wake hamjali halaf at the same time amemkataza kufanya Kaz kisa alee watoto na hela ya matumiz haitoshi hapo bado hajampa stress za michepuko,unakuta mmama watu yupoyupo tu Hana Nuru usoni.mwanamke akitunzwa huwez kumchoka
Ukweli mchungu ila acha tuseme, mkeo hakupendi na hakufeel kwenye moyo wake, wanawake tukipenda huwa hatuwez vumilia hat siku ipite bila kumjulia Hali umpendaye..
Hauna familia yoyote watu wenye familia hata comment zao zinaonyesha maturity na kama wewe ni mume na ni baba basi mkeo ana hasara kubwa Sana maana wewe ni mvulana unabwabwaja sana.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.