Habari wana JF,
Nasumbuliwa na hilo tatizo kwenye mfupa wa paja (femur) kwa miaka 15 sasa na mara zote nikienda hospital baada ya vipimo napewa antibiotics tu ambazo kwa kiasi fulani zimekuwa zikinisaidia lakini bila tatizo kuisha miaka ya 2003 mpk 2012 nimekuwa nikipewa Cloxacilin hii ni...
Habari wana JF,
Naomba niwashirikishe hili kwa uchache.Itasaidia kiasi fulani.
Yawezekana nimepost hili kutokana na woga wangu lakini nimeshuduhudia visa vitatu vinavyofanana katika mahali ninapotoka (mkoa) ingawa vilitokea katika maeneo tofauti (wilaya).
Ni hivi, kuna hii tabia ya wanaume...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.