Kuhusishwa na mihadarati ndio kuitwa kistaarabu?!. Mbowe hajakataa wito ila alichopinga ni kuitwa pasipo kufuata taratibu na sheria za nchi pale mtuhumiwa anapohitajika na jeshi la Polisi.
Mtoa mada ficha upumbavu wako! Mbowe ni mtu mzito nchi hii, Huwezi kumuita kwa majina yaliyoandikwa kwenye karatasi ya kufungia vitumbua. Kama wanamuhitaji kamanda Mbowe kwa mahojiano basi wafuate taratibu rasmi za kisheria
Mkuu Unadhani Biashara hii ni ya watoto wa Maskini?! Mtoto wa mbwa anatoa wapi mtaji wa kupiga hizi dili labda awe punda wa kutumwa na hao watoto wa kishua
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.