Nahitaji kujiunga na chuo cha ubaharia lakini cjui wapi pakua nzia mwenye ulewa na hili anwani za chuo na mahali kilipo. Unaweza kunisms namba zangu ni 0789797889 au 0755433110
Wana jf hebu mnishauri kuna rafiki yangu wakike tunapenda sana kiasi kwamba moyo wangu umetua kwake cjamwambia lkn hana kipingamizi hata nikimwambi tatizo tunalingana umri je inaweza ikawa kikwazo?
Kuna mwanamke mke wa mtu hupenda sana kuja dukani kununua nguo kila hakija humpenda sana kunionyesha mapozi kichokozi nakuna cku alikuja akaingia sehemu ya kujaribia nguo akavua nguo then akanita niende nikamfungiye zip ya sketi akiwa nusu uchi. Km niwewe utafanyaje?
Kuna mwanamke mke wa mtu hupenda sana kuja dukani kununua nguo kila hakija humpenda sana kunionyesha mapozi kichokozi nakuna cku alikuja akaingia sehemu ya kujaribia nguo akavua nguo then akanita niende nikamfungiye zip ya sketi akiwa nusu uchi. Km niwewe utafanyaje?
Tatizo serikali yetu imetanguliza sana siasa kuliko maisha ya wananchi wake, poleni mlio kutwa janga hilo na mungu azilaze roho za marehemu malipema peponi amina,
Tatizo serikali yetu imetanguliza sana siasa kuliko maisha ya wananchi wake, poleni mlio kutwa janga hilo na mungu azilaze roho za marehemu malipema peponi amina,
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.