Search results

  1. Nachinguru

    Tetesi: Sheria ya uchaguzi kuwasilishwa Bungeni, Mgombea urais awe ameishi nchini mfululizo miaka miwili ili akidhi sifa ya Urais

    Sheria hutungwa si kwa mlenga mtu aliekwisha tenda kosa bali kwa tatakaye tenda baada ya kusainiwa sheria hiyo.
  2. Nachinguru

    Je, wajua kikatiba, CAG ana hadhi ya Jaji Mkuu?. Je, wajua ripoti ya CAG ni Zaidi ya Bill?. Je, wajua kwenye ripoti ya GAG, CAG ni zaidi ya Rais ?

    Darasa safi sana, wasiwasi wangu ni kuwa azimio la kutofanya kazi CAG linaweza kuwa sio la Bunge peke yake! Lina 'external hands'. Katika mazingira hayo tunafanyaje!!..?? Sent using Jamii Forums mobile app
  3. Nachinguru

    MEMBE ALONGA: Ashangazwa na namna alivyoitwa na Bashiru, amuita Musiba mwongo, mzushi na mfitini

    Kafundisha Namna ya ku'handle matters' scientifically!
  4. Nachinguru

    Katika katiba pendezwa spika na naibu wake wasitokane na wabunge wa kuteuliwa

    Ktk katiba pendezwa spika na naibu wake wasitokane na wabunge wa kuteuliwa. Napendekeza watokane na Wabunge wa Majimbo au Wananchi waombe. Hili litaondowa dhana ya kulipa fadhila kama viongozi hawa watatokana na Wabunge teule. Changia tafadhali!!
  5. Nachinguru

    Udhaifu wa Naibu Spika Dr. Tulia Ackson na Uhuru wa Muhimili wa Bunge

    Bunge kama mhimili katika nchi, mimi naona sio busara SPIKA na NAIBU SPIKA watokane na wabunge wa KUTEULIWA. Badala yake Napendekeza iwe kikatiba watokane na wabunge wa majimbo tu, sio vinginevyo. Au mgombea wa USPIKA AU NAIBU SPIKA akitokea kwa wananchi.
  6. Nachinguru

    Ukusanyaji mapato mradi wa Mwendokasi: UDART yamaliza mkataba na MaxMalipo, kusaini mkataba mpya na TTCL..

    Naungana na wewe juu ya hii hoja. Tusubiri madudu ya ttcl ktk hili.
  7. Nachinguru

    Hii ni Tenda ya ajabu kabisa: Tenda kama hizi ni kifo cha sekta binafsi,nani aliziruhusu?

    Private contractors iko haja ya ku 'raise' concern on this type trend. Ni kupeleka kilo chao CRB ili ku 'declare' kufuta hizi Private companies.
  8. Nachinguru

    Hii ni Tenda ya ajabu kabisa: Tenda kama hizi ni kifo cha sekta binafsi,nani aliziruhusu?

    Sector binafsi ya ujenzi inauliwa!! Hatuna haja ya kuto kuamini ktk hili. Twafaaaa!!!
  9. Nachinguru

    Nikajiuliza, Waziri alifuata nini Ikulu?

    Duuh ukweli mtupu!!!!
  10. Nachinguru

    Hivi kuna Watanzania wana furaha kama hivi?

    Wapo, na wapo wazungu wenye huzuni kuliko waafrika!!
  11. Nachinguru

    Tetesi: Prof. Lipumba kuhamia ACT Wazalendo muda wowote

    Aende akaendrlee na utapeli wa kisiasa hiko. Lipumba now is not after the democracy development or anything in the plitics. Is oportunistic man. ACT be careful as you receive him.
  12. Nachinguru

    Maendeleo ya daraja la Nyerere, Kigamboni na mradi wa mabasi ya mwendokasi

    Nauli lazima ishuke kwani abiria ni wengi na revenue ni kubwa. Na mredi hauna gharama kubwa kihivyo za uendeshaji. Hawanaga kukaa foleni.
  13. Nachinguru

    Maendeleo ya daraja la Nyerere, Kigamboni na mradi wa mabasi ya mwendokasi

    Hoja hizo zinahitaji mchango wa nawazo na fikra. Wananchi wanaumia.
Back
Top Bottom