Tafuta kwenye huu Uzi ukiona coment hiyo ya mzee touch hapo kwenye mchoro ambao unaonesha kama link ime feli utapelekwa moja kwa moja YouTube live na utaweza kucheki mkutano live bila chenga.!
Kula tano[emoji109]
Yani anaongelea lowasa kukopa wakati serikali pia ina madeni yasiyowezekana kuyalipa kwa wakati na bado inataka kukopa tena hahahahhahh kweli nyani aoni kundule.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.