Search results

  1. W

    Mshahara wa advanc bank kwa nafasi ya loan officer huwa ni bei gani?

    ni kweli buku nane kwa siku halaf wateja unatafuta jua kali balaa matenti yao kama watu wa simu hawajali kama mtu una degree yako unalost pale u wont see urself growin in career wise unazungukuka madukani uswahilini yan unakuwa kama wauza mabesen na degree yako
  2. W

    Advans bank!!

    jamani advans bank acheneni nao maana ukienda wankupigisha training ya miezi mitatu na unalipwa 8000 kwa siku na kila mtu lazima upige prospection jua kali ni wanyonyaji sikushauri uende kama u r expecting something big then ukimaliza miezi mitatu wanakulipa 350000 niambie maisha ya mjini ulipwe...
  3. W

    List ya recruitment agencies Tanzania

    plz and me too awema87@gmail.com
  4. W

    Best movies

    hitlist drop dead diva tresspass secret circle in treatment
  5. W

    Kuitwa kwenye usahili wa oral kesho tra

    tea wameita kwa posts zipi posts za preventive assistants tayari plzzz mwenye kujua aniambie
  6. W

    Soko la waliosoma sheria (LLB)

    kwa kweli hali ya wanasheria wahitimu inakera nimegraduate mwaka jana nimevolunter weeee mpk n imechoka tena bora now nimeona niende mzumbe nikasome hr cz hali mbaya hii course jifikirie mara mbili ukienda kusoma na nina gpa nzuri ila duh hali si hali
  7. W

    Nelly Furtado Returns Gaddafi Money

    thats the most civilized thing for a person to do but putting myself in that situation lol!!i wonder if i would return that money!!!!what i heart!!!!!!!
Back
Top Bottom