Hapo kwenye RED
Nakumbuka Masogange alikamatwa Afrika Kusini mzigo ukiwa umefika O.R Tambo tayari. Hakukamatwa JKNIA hapa Dar. Hivyo inamaanisha mzigo Dar ulipita salama hakuna aliyeona wala aliyewachoma. Kuna mtu aliusaidia ukapita na askari wa Sauzi ndio waliounasa.
Kwa namna hiyo, Jingu...
Jeshi la Polisi Mkoani Morogoro leo limetoa tahadhari kuwa halitasita kuchukua hatua kali kwa vikundi vya wanasiasa vitakavyokusanyika kesho kwenye mahakama ya Morogoro kusikiliza hukumu ya keshi ya uchaguzi kwenye majimbo ya Kilombero pamoja na Mrimba ambapo hukumu zote mbili zinatolewa Ijumaa...
Chabruma vipi baba yako Samwel Sitta ameshakwenda mahakamani kupinga kuenguliwa? {pole sana kwa maumivu hayo najua inakuuma sema basi tu huna la kufanya}
By the way, toka upewe u-DC umepotea sana huku jamvini, afadhali walau leo U-spika umekutoa mafichoni.
Mwisho kabisa: Najua hujafurahia...
Nimesoma katika Gazeti la Mwananchi la Leo hii kuwa Kiongozi Mkuu wa ACT-Wazalendo Zitto Zubeir Kabwe na Mwenyekiti wake Anna Mgwira wameshindwa kumaliza mikutano yao kadhaa Mkoani Geita baada ya kuzomewa nawananchi.
Gazeti hilo limeandika katika moja ya kurasa zake za ndanikuwa Zitto katika...
Mwana Mpotevu
Nakubaliana nawe kuwa CCM wajiandae kuwa chama cha upinzani very soon
Lakini matokeo haya yasiwavimbishe kichwa Ukawa, bado wana safari ndefu ya kuhakikisha dosari zilizojitokeza katika baadhi ya maeneo ambao walisigana basi zirekebishwe. Kama wapinzani wasipofanya marekebisho...
ningeshangaa sana kama wasingeliahirisha hili bunge la katiba wakati muda wa bunge la bajeti umekaribia. tena kamati za bunge la bajeti zinatakiwa kuwa zimeshaanza right now hizo wiki mbili zijazo bado watakuwa wamechelewa sana
sasa hapa ndio penyewe, nataka nione wale wanawake waliofanya fujo bungeni last week wakiimba kuwa wanataka haki zao sasa wampigie kura mwanamke mwenzao Dk. Huvisa kama sio wanafiki na kulilia haki huku wakijua hawana uwezo. Yangu macho kwenye uchaguzi kesho
Leo nimethibitisha mwenyewe hapa kibaha jinsi zitto asivyokubalika kwa watu wa kawaida kabisa katika eneo hili walau. Kila jina lake lilipokuwa likitajwa watu walikuwa wakizomea kuonyesha kumchoka kiumbe huyo
Mbowe ameeleza kuwa hakuna sheria per se inayotaka mikutano kufungwa saa 12 kamili bali sheria ya uchaguzi ambayo haiko applicable hapa. Wakuu wanasaini kadi za uanachama hapa no
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.