Kwa uwezo mdogo tu wa kufikiria mmoja kati ya watu hawa wawili yaan MP Mh. Pinda na Mh. Kafulila hasa kwenye suala hili la Escrow, Pinda kama warizi mkuu alishindwa kutambua kuwa hela za Tegeta Escrow Account ni za umma huku mbunge wa kawaida (David Kafulila) ambae tena chama chake hakipo kwenye...
Habareee, naimba usaidizi kama kuna mtu anaejua application ya kuangalia Tv za hapa nchin live kama Kenya anijulishe, please nahitaji sana jameni nisaidieni.
Habari zenu wana jukwaa, mie nina shida kidogo tu ila kwa kupitia jukwaa hili naamini nitapata ufafanuzi na usaidizi.
Kie nina miaka kumi tangu nihitimu elimu yangu ya msingi na kwa bahati mbaya sikupata nafasi ya kendelea na elimu ya sekondari.
Sasa baada ya kakaa kwa mda nimeona ni heri niweze...
Kama wewe unaamini Mungu hayupo na omani yako haikuruhusu kuamini hvyo una haja gani ya kuleta mabishano yasipna na umuhimu tena ya kupotosha umma.
Kuna vungi sana vya Mungu ambavyo binadamu hata ufanye vipi kuvijua hata ungeamua kutumia maisha yako yote kwenye utafiti utaambulia zerro.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.