Aise Kama utani vile nakuwa faza kinoma. Siku Kama ya leo miaka 28 iliyopita mwamba, jemedari, shujaa, mchizi, msela, Askari, kamanda nilizaliwa hahaha aise Nina mbwe mbwe kinyama 😂😂
Shabiki nguli wa Chelsea na Mtiba Shugwa 🤣🤣🤣.
Napenda Sana utani na masikhara dah ..Ila ground nipo tofauti...
Wakuu kwema ..nahitaji mkopo wa Million mbili nina kiwanja kipo kisongo naweka kama bondi nimekwama sehemu hivyo nahitaji hiyo pesa.
Kwa mwenye nia anisaidie kupata hiyo pesa then ndani ya miezi miwili kuanzia mwezi wa kumi na moja na kumi na mbili nitarudisha.
Asante ni kila kitu kipo...
Nauza mitungi midogo ya gesi aina ya Manjis. Kwa anayetaka anicheki pm nimpe maelekezo
Karibuni aise ipo 15 tu na bei no 22,000/= only Tanzania shillings
Wakuu kwema? Hili zao la vanilla nimeona linapigiwa chapuo sana hasa kwenye bei yake nasikia ipo juu sana hadi kufikia usd 500 kwa kilo. Je ni kweli?
Kwa wadau wanaohusika na ulimaji au wenye uelewa wa hili zao waje watupe elimu kuhusu ulimaji wa hili zao. Mimi siyo muumini sana wa fursa...
Wakuu kwema? Nauliza kama ni sahihi kufanya kazi ukiwa na muonekano wa Rasta (dread).
Je, kwa mazingira ya ofisi zetu hapa bongo (mfano mashirika ya umma, mashirika binafsi) wanaruhusu mwajiriwa kufanya kazi hasa mwanaume huku akiwa na dread?
Naomba kujua wakuu.
Wakuu khabari zenu wakuu. Mko salama? Naomba kujua endapo nahitaji kufuta comment(s) hapa JF.
Mfano nimemuuzi mtu kwenye comment na hajapenda kile nilichoandika je nikifuta ile comment, itaondoka moja kwa moja kwenye server za jf? Na je mtu mwingine akiingia JF ataweza kuisoma ile comment...
Wakuu kwema, nataka kwenda huko kimatembezi zaidi napenda sana nchi za watu wa macho madogo kama Japan, Korea, Vietnam, China ila kwa sasa naangalia sana Korea Kusini.
Naomba muongozo kwa Watanzania wanaoishi humo. Gharama za Visa, nauli na malazi kwa haraka haraka niwe ni kiasi gani wakuu...
Niaje Mabroo na Masista. Maisha yanaendelea poa, mimi niko Kahama hapa kuna mishe nilikuja kufanya ila mda siyo mrefu nageuza kurudi A Town, aka A City, Geneva of Africa, City of God[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] ..ni hivi wakuu tuachane na mbwe mbwe za majina.
Ni Kwamba katika muda niliokaa...
Kuanzia leo tarehe 20 natangaza mimi ni shabiki wa Leicester City.
Endapo Lampard ataendelea kuwa kocha wa Chelsea basi mimi nitatua rasmi Leicester.
HUYU TAKATAKA LAMPARD AFUKUZWE HARAKA SANA.
Nipeni mbinu za uhamiaji..kuhamia timu mpya wakuu..
Leicester 2-0...
Wakuu mambo vipi?
Heri ya mwaka mpya ndugu zanguni. Natumai wote ni wazima, wake kwa waume, wakubwa na wadogo pia. Kijana wenu hapa naombeni ushauri mwaka huu 2021 nimepanga kutembelea nchi za kiarabu walau kuosha macho kidogo maana huko ndo gharama nafuu kwenda kuliko Europe maana ni mlolongo...
Niaje wakuu nahitaji kukusanya stock ya kutosha ya mahindi ya njano pamoja na maharage. Hivyo naomba kujua namna naweza kupata, nipo Arusha hapa..
Asanteni.
Mimi kijana wa Kitanzania mwenye umri kamili wa miaka 26, mwenye Degree moja ya Procurement, ni mjasiriamali wa biashara ya chakula, Matunda na Forex ..lakini bado naitaji kuongeza kitega uchumi kimoja na nimeona ni deal na vitu hivyo vya kula kula maana mimi mwenyewe nakimbiza (nakula) japo...
Wakuu za asubuhi, mko powa wengine muko kazini wengine kwenye harakati za biashara, wengine wako mtaani hawana kazi au ajira. Cha muhimu ni uzima tu.
Ok naomba kujuzwa kuhusu mambo ya nyota, je waweza kuwa kwenye mahusiano na mwanamke then mambo yako yakafeli kabisa au yakaenda kwa kusua ila...
Wakuu khabari za asubuhi, mimi kijana wenu mpambanaji ..naendelea kutafuta ni kwa namna gani naweza kujiongezèa kipato. Katika pita pita za town naona kuna fursa ya kufanya hii biashara ya matunda mchanganyiko au kachumbari ya matunda (fruit Salad). Nipeni muongozo wakubwa, naomba kujua...
Natafuta vijana watano walio siriyaz na kazi tuungane tufanye biashara. Itakuwa ni biashara ya chakula.
Sisi ndio wafanya kazi na sisi ndio maboss. Niko Arusha kama utapenda ku join karibu. Nicheki wasap 0768246184.
NB: jinsia zote mnakaribishwa.
"USIPOFANYA KITU, HAKITATOKEA KITU"
CC CONTROLA
Heri ni siku yako mzeebaba Ollachuga Oc keep fighting bro everything is yours believe in plan A[emoji3][emoji3][emoji3]
#ShabikiNguliWaChelsea..
#CFC[emoji170][emoji170][emoji170]
Wakuu khabari za wakati huu. Mimi ni muhitimu wa fani ya ununuzi na ugavi (Procurement and Logistics/supply Management) mwaka 2019. Hadi sasa nina uzoefu wa mwaka mmoja baada ya kujitolea kwenye taasisi fulani ya Serikali.
Napatikana Arusha na kama kuna kazi yeyote ya halali basi Niko tayari...
Eee Bhana eee..! Hii imekaaje wakuu, kwanza habari za jumapili? Kwa wale mlioenda kanisani mtuombee na sisi tupende kwenda uko maana tupo tupo tu..! Sasa stori ni hivi ..juzi kati apa katika mishe mishe zangu za kutafuta angalau hata hela ya kula na kulipa kodi ya geto maana apa chuga khali...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.