Hbr ndugu
Kama kichwa hapo juu dogo kachomeka USB mbovu na TV ikazima ukiiwasha inawaka lkn haidisplay kitu chochote n ukitumia king'amuzi unaweza sikiliza redio kwenye sabufa naomba msaada wenu kujua tatizo hili
Je ni kubwa sana ?
Na litanikost kiasi gan?
Na leta kwetu kwanza ndg kbla...
Natanguliza shukrani kwenu wana jf
Naomba kujuzwa bei za projector za bei rahisi sana kampuni yeyote ile ni kwa matumizi ya kawaida tu
Napenda kuwasilisha kwenu
Nisaidieni wadau juu ya mada tajwa hapo juu
Nimejaribu kubadili adaptor lakini tatizo bado lipo na haiwaki mpka uchomeke adaptor
Natanguliza shukran kwenu wanajf wote
Civ B history C English D kisw B Geo C bios C chemistry B mathematics C physics sikufanya ilikuwa division II 18.
Je naweza chaguliwa kusoma(Co) clinical officer nikiapply nacte?
Naomba kusikia kutoka kwenu wadau
Wadau naomba kujua kuna uwezekano wa kuangalia TV bila king'amuzi kwa channels zote (azam TV, continental TV ,zuku TV n star times TV n TV za nje ) kwa kutumia flat screen TV ,
Kama kweli utumika nini?
Naomba kuwasilisha
Wadau poleni kwa uchovu wa weekend
Nina rafiki ana techno j8 (boom) Bluetooth yake haina nguvu ya kukonet umbali wa haya mita mbili
Tatizo nnn?
Na nn afanye?
Nategemea kutoka kwenu wadau
Ndg wana jf naomba kusaidiwa
Nina laptop aina ya HP min probook 4331s wakati nainunua ilikuwa na hard disk (HD) 640 nikabadili window 7 na kuweka window 8 .sasa cha ajabu imepungua HD ni 121+474= 595 ( yaan total ya partition C na D ) naomba msaada ili niweze kuiongeza ukubwa wake n je hiyo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.