Moja ya mambo ambayo naenjoy kufanya ni haya aisee ila uwe na moyo sana na usiwe mtu wa kupenda sana utakufa
Hii kitu kwa mara ya kwanza 2013 nilianza kwa kudukua acc za Facebook za watu wangu wa karibu afu badaye nakuwa nawatania mulemule na kisha najiita nabii chuoni hahahaha
Pia kudukua...
Habari, ya kutwa mwanzo wa juma kabisa siku ya hangover kazini za weekend nzima
Mimi kwa majina ndo haya haya mnayoyaona
Nimekutana na changamoto ya wizi wa dakika kutoka mtandao wa vodacom
Nilijiunga kifurushi cha wiki cheka ya tsh 30,00 ambapo hupata dakika zenye nchanganuo wa matumiz...
Ameajir sana mbona magu 2016 ulinzi na usalama
2017 watendaji ualimu ma afya na 2018,2019 kadhalika
2018 madaraja watu wakapandishwa na 2019 pia
Swala sukari kupanda kiuchumi hailikuwa na impact
Ila ilipopanda petrol tumeona madhara yake
2021 baada jpm kufariki
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.