Ni ngumu watu kukuelewa.
Hii ni sawa na nyingine nyingi zilizopita kama akina Ezzy E,MJ,R.Kelly,Dmx...
Ni muongo mwingine ktk rap,kumbuka imetimiza miaka 50 tangu hapo.
Diddy hachomoki kwenye hili
Dawa Yao ni kuwa mpuuzi tu, utamuumiza sana nishawahi ishi na mtu wa hivyo
Wengi wao hawanaga exposure na ni empty minded.
Ni watu flani hv wazembe wazembe, yaani hawezi fanya jambo lake bila kuskumwa na akianzisha jambo halimalizi ni lazma aishie njiani.
We kuwa mpuuzi tu puuzia maneno...
@havanna sio kuzinguana rejea post yangu
Nahreel alitangaza bei ya session kama alivyofanya zombie
Weusi studio time Kwa beat makers wadogo Huwa hawalipi,
Wao wanasema wanampa mileage producer Ngoma ikitoka na kuwa Kali,
Session waliosema walipia ilikuwa ni B hitz wakati marehem Pancho yupo...
Kosa la kwanza na la kujirudia ni [emoji3516][emoji3516][emoji3516]
Achana nao
Fanya kazi wasikutishe na wingi wao, ishi nao Kwa akili halafu hapo ni kazini sio Sehem ya kuwania Award ya kufurahisha watu.
Unalea sana ujinga we mzee
Wanatafuta trend za nyimbo zao,hilo tukio ni la kupangwa kama mengine yanavyopangwa.
Na wabongo Kwa kushabikia upumbavu hawajambo.
Eti tumenusurika kifo
Kuhusu mzaliwa ni story tu za kahawa hamna kitu kama hicho.
Eti, alishikwa na sembe Kwa jamaa wale wenye macho madogo
akaingia vifungoni na makaratasi yanayoi+cost kampuni[emoji1787][emoji1787]
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.