Umenikumbisha maneno ya Dr. Salmin Amour Juma Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mstaafu, wakati akizungumzia Urais wa Zanzibar, alisema Urais si Halua kwamba kila mtu alambe.
Maana yake wanaongoza watu wenye akili na utashi, ambao wanajua kutofautisha zuri na baya, la kweli na la uongo, sifa ambayo haipo kwa hao kuku au mbuzi, kwahiyo wachange karata zao vizuri!🙏
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.