Wakuu Nina skill za software and Application development, ebo nipeni wazo ambalo likifamyiwa kazi kwenye IT linaweza solve mambo mengi kwenye jamiu na litaleta faida kubwa.
NB: Liwe wazo litakalo ishu, Yani likifamyiwa kazi linaweza dumu Kwa muda mlefu sana.
Hello ndugu zangu habari za Muda huu, Matumaini yangu mnaendelea vizuri na majukumu ya ujenzi wa Taifa.
Ni Kwa namna gani naweza soma au jifunza hizi course tajwa hapo juu? Kama kuna yeyote mwenye muongozi nahitaji msaada.
Wakuu naomba ufumbuzi wa hili tatizo hapo juu maana naona kama linazidi Sasa.Hofu na Wasiwasi inakuja Kwa kila jambo unalotaka kulifanya au unategemea kulifanya.Mwenye suluhisho naomba aweke hapa ndugu zangu
Wakuu, habari za Muda huu, Naomba kusaidiwa mada tajwa hapo juu, Kwamba ni hospital gani yenye maspecialists wazuri na wana vifaa vizuri Kwa hapa bongo?
Wakuu habarini za muda huu, matumaini mu wazima wa Afya. Nije moja kwa moja kwenye mada.
Jana mchana nimefatwa na dogo mmoja akitaka nimpe ushauri. Iko hivi, ana msichana aliyemtokea takribani Kwa wiki 2 hivi, kila akijaribu kucheza nae msichana hampi majibu mazuri na wakati mwingine hapokei...
Wakuu nawasalimu Kwa jina la Jamuhuri.
Nini kinasababisha kuwa na wasiwasi ya kupita kiasi na je huu ni ugonjwa gani na tiba yake ikoje?
Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
Wadau kama mada inavyojieleza hapo juu.
Nahitaji kufanya academic research kwenye eneo hilo kihusiana na usalama uliyopo kwa sasa kwenye ishu za taarifa za wateja. Ni maeneo yepi naweza anza nayo ambayo hayapo salama?
Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
Wazee kama kuna yeyote mwenye ujuzi wa kutengeneza model za security kwenye data za organization, please namwomba tushare kitu.
Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
A path in a digital circuit switched network has a data rate of 1 Mbps. The
exchange of 1000 bits is required for the set up and teardown phases. The
distance between two parties is 5000 km. What is the total delay if 1000 bits of
the data are exchanged during the data transfer phase? Assume...
Hello, kama mada inavyojieleza hapo juu Binafsi natamani kufika Wilaya ya Kondoa kwa ajili ya utalii wa ndani tu.
Ni maeneo gani au kivutio gani kinafaa kutembelewa kwa hii Wilaya?
Wadau naomba kujua hii program kuna dogo anataka kusoma, ugumu wake ukoje ,lakini vipi soko lake?
Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
Hello, Wadau habari za muda huu. Nahitaji Media Convertor naweza pata duka gani hapa Kwa Dar au nje ya Dar? Bei ikoje?
Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
Pata Tovuti kwa biashara/kampuni yako kwa gharama ya Tsh 230,000/-. Hii ikiwa ni pamoja na gharama ya Domain na hosting.
Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
Wakuu kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu. Nahitaji betri ya laptop. Duka gani itapata kwa bei nafuu?
Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
Siku ya kuamkia tarehe 23/8. Ni siku ya Sensa na itabaki kuwa tarehe rejea ya siku ya sensa.
Kuhesabu Watu kutaendelea kwa takribani siku 6 hadi saba kwa kuzingatia tarehe rejea. ieleweke kuwa sensa haiwezi kukamilika kwa siku moja kwa nchi nzima.
Hivyo hata ukipumzika inawezekana siku hiyo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.