Hii habari binafsi nimesimuliwa na mkazi wa g.mboto kwa njia ya simu "Ebwana kuna mwanajeshi kavamiwa na wananchi kapigwa kweli kisa eti wanasema wanajeshi walifanya makusudi kulipua mabomu" kiukweli nlifadhaishwa sana,gafla akapga simu tena "jamaa wamerudi wanagawa kpgo hapa nipo njian...
inferiority anayo yeye,kivip adai ushahidi then abadilike apelekewe aliogopa kuumbuka mbele ya macho ya jamii! Acha utumwa wa nafs kjana jaji na chambua mambo kwa kina! Wek up,toka kweny ucngz wa pono!
kweli kabisa,na pia sehemu kubwa ya watanzania wameamka na wapo macho mno,tatzo lingine linakuja,kipindi hiki Cha bunge umeme haupo hvyo inakua ngumu kwa wanaharakati kuckiliza na kuona bunge,hii jambo la umeme nahc zipo ki-ccm zaidi! Ila mwisho wao upo wajiandae kuachia ngazi!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.