Chukua uzi wa nguo, ingiza katikati ya meno chokonoa uone uchafu unaotoka.
Shida iko katikati ya meno. Utanishukuru baadae...
Hata upige vipi mswaki haitasaidia kama katikati ya meno uchafu haujatolewa kwa uzi
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] inachoma kama pasi ya umeme....halafu likamalizia eti bado hatuko comfortable kuvaa viatu....
Onjeni uchungu wa kubaguliwa kama jinsi mnavyowabagua na kuwadhalilisha mashoga, maalbino, na wanawake!! Tulia sindano ziwaingie nyani nyie![emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.