Salaam
Kawaida ya watu wanaoamini ushirikina wanapogundua kuwa fulani ndiye aliyempiga zongo mwanawe, huwa hawana furaha nae tena hata akijichekesha.
Katika maofisi, watu wanapogundua kuwa fulani ndiye anaeleta fitina ili wenzake waharibikiwe katika shughuli zao, huyu hutengwa mazima kama si...
Inaendelea...SEHEMU YA NANE
Mganga; hawa wenzako ndiyo wanaokupa maradhi ili ujirudi na kukubali kumtoa mwanao kikoa ila kadri unavyokiuka kiapo na kupingana nao mwisho wa siku watakula nyama wewe.
Yule mama kwa sura ya huruma na majuto akasema kwa sauti ya chini; "naomba unisaidie baba ndio...
Inaendelea....SEHEMU YA SABA
Ndugu wasomaji
Watu wengi wamejitokeza katika uzi huu na kueleza kwa uchungu mno mikasa ya kishirikina waliyopitia na wanayopitia sasa! Hii inaonyesha wazi uchawi upo na watu wanaumia ila hawana pa kusemea walau kutoa nyongo zao, maana jamii ya leo imejaa dhihaka...
Naam nimelaghai mkuu na nikachangiwa mamilioni sasa nitajiri kutokana na akili na muda niliotumia kulaghai, vipi unataka nikupunguzie ukwasi kidogo ili usiniharibie biashara?
Tangu naanza tu page ya kwanza ulianza kunipinga kuwa uzi ufungiwe kwa kuwa nitatoza watu pesa Telegram! Baada ya kuona hilo halipo na naendelea kama kawaida, unaokoteza usiyoyajua ili kuleta walakini! Una shida gani mkuu au hutaki ya kichawi yasemwe? Ok kuhusu swali la mdau ni kwamba nimekwenda...
Inaendelea.....SEHEMU YA SITA
Ndugu zangu nifafanue kidogo, nilikuwa siamini haya mambo hapo awali na jambo usipoliamini usilipinge bali tafuta ukweli wake kwa waliozama katika fani hiyo...naam ndivyo nilivyofanya na ndiyo maana nikawa karibu na nikawa ni mfano wa msaidizi au kwa lugha zao...
Hapo ni kabla ila imani ilikuja baada ya huu mkasa hivyo tulia mkuu twende pamoja, pia sikusema nimewahi kupinga sehemu yeyote hebu endelea kunisoma mkuu ujifunze au kuongeza ujuzi kama si kukukumbusha jambo.
Inaendelea....SEHEMU TANO
Ndugu zangu, ni kwamba huyu ndugu mganga alikuwa na majini ya namna mbili, wale wenye Imani, usafi na kusimamia uganga kwa haki na hawa hutambulika kama majini wa pwani au wafalme wa vitabu.
Upande wa pili ni majini wenye kutumia mitishamba na hawa husimamia maaguzi...
Inaendelea....SEHEMU YA NNE
Huyu mke wa mganga nae ana majini nae ingawa hajishughulishi sana na mambo ya uganga zaidi ya kutumwa moto na vitu vidogo vidogo tena kwa kufanya kuitwa, ila siku hiyo majini yake yalikuja kwa uchungu baada ya kuona mganga amezidiwa.
Mke wa mganga akasema njia ya...
Inaendelea...SEHEMU YA TATU
Yule bibi alisema neno moja tu, UCHAGUZI NI WAKO SASA!! kisha akaondoka kwa hasira.
Tukabaki sisi wawili na kwa haraka nikamwambia kwa nini usingechukua mshiko ule na akanijibu kwamba yule hana nia njema hivyo anaweza kukupa pesa kumbe tayari zina husda ndani yake...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.