Ni Nape M, haa X
Ni January M, X
Ni Mwigulu N, X
Ni Mahiga A, X
Ni Muhongo S, X
Ni Makame M, X
Ni Mwinyi H, X
Ni Karume A, X
Ni mmoja miongoni mwa hao, kaaaaaazi kwelikweli . Karibu Katibu Mkuu umetoka Darasani Kwenye Siasa za Nadharia sasa umeingia kwenye Siasa na Propaganda zenyewe, karibu...
Kwa namna hiyo serikali haina uhuru wa kuambia Azam wabadili chochote kama mambo yakiharibika mpaka wao wasiliane na mamlaka za huko mitambo ilipo ili zikubali au zikatae..... Mwakyembe H.G
[emoji23][emoji23][emoji23]
Kwa kweli Sayansi imejaribu kujibu hoja hata kama sio zote lakini Dini na Watumishi wake wameshindwa hata kutonyesha alipo Mungu Baba hata Yesu Kristo mwenyewe alishindwa kumuonyesha Filipo alipo Mungu Baba." Filipo akamwambia na utuonyoshe alipo Mungu Baba yatutosha" Soma Yohana 14:8-12. uone...
[emoji23][emoji23][emoji23]
" Katumia lugha ya picha" hata hivyo nimependa jibu lako. Yawezekana anasikia Wadaku wanasema kaliwa na yeye anafuata mkumbo. [emoji106]
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.