Niko Arusha, nataka kwenda Pemba Msumbiji. Kwa basi nafikaje na gharama inakuwaje. Pia kwa ndege gharama zake zikoje na naondokea wapi. Msaada tafadhali kwa mwenye kufahamu
Mimi nahisi km mleta uzi ana la zaidi analotafuta. Au anataka kujua mbinu za kufungua iPhone ya mpz achungulie kwa maana hizo simu za kufungwa na finger print ni kiboko ya wapekuzi.
hivi huyo rafiki yako yeye hana mwanaume? tabu ni haya magonjwa tu yaliyoonea mdada. walie timing hao mpk uwabambe kisawa sawa.peleleza nyendo zao,mwizi lzm ashikwe na alichoiba. wote wawili ni shameless viumbe.na uwe unamtia wivu mume kwamba huyo hawara yake kapata buzi,wakati mwingine mwambie...
dowans hawawezi kutimuliwa kwani pesa wanazoendelea kulipwa na tanesco,ndio hizo wanazotupiga nazo changa la macho eti kuna pesa zinarudishwa na mafisadi,wakati ndio hizo hizo.mbona basi kigugumizi kuwasema hao wanaozirudisha huko BOT!!!!
mtimti,tafadhali nenda kwenye mipasho km una beef na mama kilango
hapa si maala pake.kwani unalotupasha hapa halina uhusiano wa aina yoyote na yale ambayo mama kilango kayasema bungeni.akili tunazo na tunaweza kabisa kupima na kujua km ni mbege ama la.sasa wewe mtimti peleka hii hoja yako...
mimi nina shaka pia rais wetu nae ni fisadi.yote hayo ya richmond,bot nk anayajua vizuri na yeye ni mshirika.lkn bwana wadanganyika wanaendelea kufanyiwa usanii na tunampa sifa kibao jk.yaani kashindwa kabisa kuwalaani mafisadi!!! tumekwisha.km serikali yake imeoza kiasi hicho na yeye pia...
Mkjj JKT ilikuwa bomba kwelikweli japo mwanzoni hali ngumu ajabu.Mtu unasema ukikutana na afande uraiani ama zake ama zangu.Lkn baada ya miezi sita poa tu.Siku ya kwanza ukiona mbaazi,unaapa hutakuja kuzila.Siku tu chache zikipita na ule mwendo wa mbio wa kuruta,mbaazi bonge la msosi na hutaki...
Tunakumbuka mno,tena sana.wale wazee wenzangu mpo tuliocheza halaiki jamani!! Miaka ya 10 ya UHURU na Miaka 20 TANU!
kulikuwa na sura kibao,majimaji.gobogobo sura ya TANU nk.Ule
ulikuwa wakati jmn.Sisemi sana mpk nipate wa kukumbuka na mimi
jinsi tulivyokuwa tunajimwaga uwanja wa Taifa.
kiingereza,kifaransa nk isiwe kigezo hata kidogo cha ushindi.ufahamu wa mtu ndio unaotakiwa.tena huyo richa angefanya la maana zaidi huko aendako akajibu maswali yote kwa lugha yetu ya taifa ili awakilishe zaidi utanzania wake.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.