Wakuu habari za asubuhi!!!!
Binafsi nina swali naomba mnisaidie
Je, Kuna uwezekano wa dactari kuwa proffessa bila kuwa academician. La pili ,ukifanya master ya research utaruhusiwa kufanya kazi chuoni kama mkufunzi??? Au utakaa chuoni unashinda kwenye karakana za tafiti???
Sent using Jamii...
Naitafuta mints nitaipata wapi ??? Shoplite nakumat ,village tsn supermarket nilipata ila kwa sasa I don't find green peppemints [emoji41][emoji41][emoji41][emoji41]
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimemuona kaitisha press conference .
Siku hizi bongo mtu akijisikia kuitisha press conference !!!!
Bonga ni nani aende zake huko
Anasema anaanza kuimba rasmi.
Watu na waandishi wa habari wamsapoti
Sent using Jamii Forums mobile app
May be Yuko undernourished naona yuko moderately wasted and zygomatic prominence.
1.Nawashauri ndugu zake au yeye mwenyewe.
Encourage kula kwa kiasi chakula bora chenye virutubisho vyote
2.Aende akapime au kuscreen HIV/AIDS, Syphilis,hepatitis and TB
3.Apunguze au kuacha Milo ya diets za...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.