Alikuwa akihutubia mkutano wa kufunga kampeni kata ya Isagehe wilayani Kahama. Ghafla, alipomwona mkuu wa Wilaya akipita kwa mbali, Zitto alitaharuki na kushtuka sana na mara akashuka jukwaani kama yu aenda msalani hatimaye kudandia bodaboda na kutoweka kabisa uwanjani hapo.
Katika mkutano wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.