Watu wa Haki za binadamu wanafanya maandamano mchana huu Jangwani Dar es Salaam kwa ajili ya kushinikiza Serikali hii dhalimu na yakinyama kuzungumza na Madaktari na kutatua matatizo husika.
Ni udhaifu mkubwa Serikali yeyote kushindwa kutumia busara na hatimaye kutumia nguvu na ubabe.Swala la serikali kuonyesha kuwa kama madaktari hawatakuwepo tayari basi wanaweza kutumia wanajeshi ni Udhaifu wa Viongozi wetu ambao hawana fikra pana na badala ya kutumia Akili wanatumia Nguvu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.