Search results

  1. G

    Arumeru Mashariki hakueleweki!!!!

    Naaree nnduu a kweruu,Mh Mbunge Nasari upo kamili?Tupo kwa ajili ya kulinda kura zako,Hatochakachua mtu.
  2. G

    Maandamano baridi na Legal and Human Rights Centre, Salender Bridge

    Watu wa Haki za binadamu wanafanya maandamano mchana huu Jangwani Dar es Salaam kwa ajili ya kushinikiza Serikali hii dhalimu na yakinyama kuzungumza na Madaktari na kutatua matatizo husika.
  3. G

    Maandamano baridi na Legal and Human Rights Centre, Salender Bridge

    Watu wa Haki za binadamu wanafanya maandamano kwa ajili ya kushinikiza Serikali kuzungumza na Madaktari na kutatua matatizo husika.
  4. G

    Serikali yapeleka Madaktari 15 kutoka Lugalo

    Wakuu hii Serikali ni Ndembendembe.
  5. G

    Serikali yapeleka Madaktari 15 kutoka Lugalo

    Ni udhaifu mkubwa Serikali yeyote kushindwa kutumia busara na hatimaye kutumia nguvu na ubabe.Swala la serikali kuonyesha kuwa kama madaktari hawatakuwepo tayari basi wanaweza kutumia wanajeshi ni Udhaifu wa Viongozi wetu ambao hawana fikra pana na badala ya kutumia Akili wanatumia Nguvu.
  6. G

    ukikuta zimetumika utareact vipi?

    Nchi inatumbukia kusiko julikana nyie mmeng'ang'ania tuuu ngono Jazbend zenu.
  7. G

    Maandamano kupinga posho za Wabunge

    330000 zinatakiwa saana na Walimu na Madaktari nchini.
  8. G

    Natafuta rafiki wa kubadilishana mawazo

    Okey nipo tayari
  9. G

    CHADEMA na idara ya ideology and publicity: Giza nene!

    Kichaka kilichopo Makao Makuu kinatakiwa Kichomwe moto tuanze upya.
  10. G

    Chadema, CCM ni vita mpya Arusha Kuhusu uchaguzi wa Madiwani

    Ccm wamepanga kutumia B 4.5 Vijana Arusha kazi kwenu.
  11. G

    Tanzia: Diwani wa CCM - Daraja Mbili (Arusha) afariki

    R i p diwani japo inasemekama kura zilizokupa ushindi zilikuwa za wizi.
  12. G

    PICHA: Mafuriko yalikumba jiji la Dar es Salaam

    Kidumu chama cha mapinduzi
  13. G

    Mlipuko mkubwa leo alfajiri ni nini?

    Bonde la Mpunga Mikocheni hacha mawazo mgando siye wenye hofu sio mafluck mafisadi
  14. G

    Mlipuko mkubwa leo alfajiri ni nini?

    Sawa ufunuo wa Yohana Mbatizaji.
  15. G

    Mafuriko Dar, mvua kali ikiambatana na radi yanyesha, umeme wakatwa

    Kikwete kama chura hupenda sana hali hii.
  16. G

    Mlipuko mkubwa leo alfajiri ni nini?

    Watanzania mlio Dar huu mshindo mkubwa wa mlipuko ni nini kwa mwenye taarifa?naomba kuuliza kwani hofu imetanda Mikocheni
  17. G

    Msemakweli asakwa na polisi

    Yusuf ule mchezo wenu wa kununua viongozi haujaacha kaka?mimi ninashida ya mtaji wa biashara Million 25 tuu.
  18. G

    CHADEMA yamtelekeza mbunge aliyemvua hijabu mkuu wa wilaya(hii ndo chadema zaidi ya huijuavyo)

    Mh Suzan Kiwanga sasa ikithibika kuwa umeweza kuzungumza haya basi hakika elewa sisi CDM tutakuitaji uweze kuthibitisha maneno yako otherwise .......
  19. G

    Real Madrid vs Barcelona

    Naomba cha mwisho nilale
Back
Top Bottom