Kutumia gari yenye plate number za nchi ZA.
Habarini za leo naomba kujuzwa je kuna uwezekano nikuwa na gari lenye plate number za nchi jirani na nikata kuitumia hapa nchini kwetu Tanzania kwa muda then ndio nibadilishe
Kuna kisa kimoja cha Ahmed Chalabi, nadhani mnamkumbuka sana huyu bwana, alikuwa mpinzani mkubwa sana wa Saddam Hussein
Kwanza tumfahamu huyu mtu hatari kuwahi kutokea kwenye siasa na ujasusi huko mashariki ya kati.
Jina lake kamili aliitwa Ahmed Abdel Hadi Chalabi, alizaliwa tarehe 30 October...
SALIM AHMED SALIM; MWANASIASA MWENYE AKILI, MTULIVU, WAZIRI MKUU MSTAAFU, MWANADIPLOMASIA MKONGWE NA CHAGUO LA NYERERE KAMA MRITHI WAKE ILA FITNA ZA WAZANZIBARI NA UNYERERE UKAMPONZA, IKAMFANYA ACHUKIWE NA KUGEUKA LULU ISIYO NA THAMANI.
Na. Comred Mbwana Allyamtu -CMCA
Sunday- 1/1/2023...
UGIRIKI, FALME YA MACEDONIA, UYUNANI; MAMA NA KITOVU WA NCHI ZA ULAYA, ILIYOKUWA DOLA-HIMAYA YA NNE YA DUNIA (4th WORLD HEGEMONY)
Na. Comred Mbwana Allyamtu (CMCA)
Wednesday-14/12/2022
Olasiti Arusha, Tanzania
Ugiriki ni nchi yenye historia ndefu sana duniani, imewahi kuwa Dola kiranja wa 4...
HAKUNA TAIFA LA KUINGUSHA MAREKANI KATIKA DUNIA HII, MAREKANI ITAJIANGUSHA YENYEWE.
Na Comred Mbwana Allyamtu (CMCA)
Monday-5/12/2022
Marangu, Kilimanjaro, Tanzania
Hadithi yetu inaanzia hapa, Wakati wa Vita Baridi, Milki na Dola ya Uingereza (United Kingdom and Great Britain Empire)...
BINADAMU WALIO ACHA ATHARI KUBWA ULIMWENGUNI: DUNIA IKAWA YAO, KISHA WAO WAKAWA DUNIA MPAKA LEO.
Na. Comred Mbwana Allyamtu. (CMCA)
Saturday-03/12/2022
Marangu Kilimanjaro Tanzania
Hii list hapa chini ni ya viongozi ambao wameacha "Athari" Ulimwenguni, athari yao imebaki kama chachu hapa...
Picha mnato ni Jeneral Muhoozi Kainerugaba Rubereza.
Duru za ndani zinaeleza kuwa yupo kwenye maandalizi ya kumrithi baba yake Museveni Kaguta wakati wowote.
#CMCA
Pichani ni Seneta Robert Francis Kennedy, pia anafahamika kama Bobby, alizaliwa katika familia ya watoto 9 ya Mzee na Balozi Joseph Kennedy Snr, yeye akiwa mtoto wa saba.
Picha ya kwanza kalaa chini baada ya kupigwa risasi 3 na Sirhan Sirhan usiku wa tarehe 5 june 1968, kwenye hotel ya...
Mnakumbuka kuhusu hafla ya kumzika malikia Elizabeth ll yalifanyika kwa faragha siku ya mwisho ya kuuweka mwili wake eneo la mapumziko?.
Sasa bwana jambo lile lilizua mjadala huko Uingereza, hoja nyingi zikajadiliwa kwanini walifanya fargha? Na utamaduni wao wamekuwa wakiona tukio la mwisho la...
Pichani ni mwanamke wa kwanza duniani kuwa balozi ndani ya Vatican city, alikuwa balozi mdogo (Ambassador Extraordinary & Plenipotentiary to the Holy See at the Vatican) kutokea Uganda.
Idi Amin alikiwa mtu na nusu, alivunja mila huko Vatican, na kuweka historia kwa kumteua na kumtuma...
Pichani ni Austeria Rutagambwa, Mama yake mzazi na Paul Kagame, huyu ana nasaba na mfalme wa mwisho wa Rwanda, mfalme Kigeli V Ndahindurwa, ambaye alitawala Rwanda kuanzia mwaka 1959-1961.
Bi Austeria Rutagambwa alikuwa mke wa Mzee Deogratius Rutagambwa ambae ndio baba mzazi wa Paul Kagame...
Huko zamani Misri (Egypt) ilikuwa ikitumia utaratibu wa kuwazika maiti zao kwa kuwahifadhi kwa kuwakausha, utaratibu huu uliitwa "Mummification".
Naposema zamani namanisha zamani, yani miaka ya 3370 BCE, mpaka sasa nizaidi ya miaka 5390 imepita.
Kipindi hicho Misri iliitwa Kemet, hili ndio...
Upo mjadala mpana sana na bishaniwa kuhusu chimbuko la tattoo Duniani, mpaka kufika mwaka 2015 wanasayansi wengi wa kihistoria walikubaliana kwamba chimbuko la tattoo ni ulaya ya kati yani huko Oztal Alps.
Walihitimisha uchunguzi wao kurejelea mwili wa kale uliopatikana huko Oztal Alps ulioitwa...
Pichani ni Ian Kagame (jina lake kamili ni lan Kagame Deogratius Rutagambwa) ambaye alijiunga na jeshi la nchi hiyo wiki iliyopita.
Ian alikuwa ni miongoni mwa Maofisa cadets 568 waliopewa kamisheni katika Chuo cha Kijeshi cha Rwanda ambao waliweza kufaulu mafunzo ya kijeshi nchini Rwanda...
USHUJAA NA UKIBARAKA WA VIONGOZI WA MWANZO WA AFRIKA.
Na Comred Mbwana Allyamtu CMCA
Wednesday-9/11/2022
Mount Kilimanjaro, Tanzania
Mapema miaka ya 1920 mpaka 1975 Afrika ilichukua sura mpya, mageuzi mengi yaliivaa Afrika, kwanza ni vuguvugu la ukombozi (liberation of Africa), Pili ni...
Kijana mwenye asili ya India Rish Sunak hatimae amefanikiwa kuwa kiongozi wa Chama cha Conservative (Torry party) nafasi itakayo mfanya kuwa Waziri Mkuu wa Uingereza baada ya kuidhinishwa na kuteuliwa na mfalme Charles lll.
Sunak mwenye Miaka 42 ambaye ni mbunge wa Richmond (York) ni Waziri...
Hawa ndio viongozi wa juu wa chama cha CCP, yani kamati tendaji ya juu ya chama (Politburo standing committee members), kamati hii ya watu 7 ndio kamati ya utendaji wa chama na serikali katika shughuli za kila siku.
Kamati hii ya viongozi hawa inategemewe kupokea majukumu ya kitaifa mwezi march...
Kiasili Ukraine ndio Mama wa Russia, Russia imetokana na Ukraine.
Ukraine ya sasa huko kale iliitwa Kievan, baadae ikaitwa Kievan-Rus (hili nimewahi kulieleza kwa kina huko nyuma).
Sasa leo naweka sawa hapa...
Kama nilivyowahi kusema huko awali, Urusi salama ipo mikononi mwa Ukraine, katika...
HAITI; NDOTO YA UKOMBOZI ILIYOSAFIRI KUTOKA AFRIKA, IKAWAGEUZA WATUMWA KUWA WATAWALA NA WATAWALA KUWA WATUMWA.
Na. Comred Mbwana Allyamtu (CMCA)
Sunday-16/10/2022
Himo, Kilimanjaro, Tanzania
Haiti ndio Taifa la Kwanza Duniani la watu weusi kujitangazia uhuru Mnamo mwaka 1804, ikawa ya kwanza...
UFALME WA UINGEREZA.
Na. Comred Mbwana Allyamtu CMCA
Monday-12/09/2022
Tabora- Tanzania
Kwanza kabisa Familia ya kifalme nchini Uingereza hairuhusiwi kikatiba kujihusisha na masuala ya kisiasa kabisa.
Siasa na ufalme ni vitu viwili vilivyo tenganishwa kabisa, ndio maana sio rahisi kukuta...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.