Vi sub sabaya vilikuw vingi kumbe Mmmmhhhh.. Mama hataki makasiriko ya wanaomsingizia mwendazao historia itawabeba au kuwaketisha chini mana mabega yalizid kuinuka juu.
Ss madiwan wa siha wanachojua nikuazimia tu watumishi bla ht kujua undani wa vitu kugonga meza kw bashasha kumbe fedha zinapigwa.
Tatzo linaanzia pale mtu yle yle alosimama kupinga Leo anasimama tn kupindua alichokikomalia.. Lugha Ya kitaa wanasem kula cjui Chakula ulichokila kikaamua kurejea. Makasiriko yangepungua hizi sura zingebadilishwa.
Hawa maded washajisahau Mh raisi naomba uangazie macho kwa hawa wapandisha mabega ikiwezekana waanze kufanya interview badala yakuteuliwa wanapwaya Sana ukizingatia wengi ni wale wale wa enzi za mwendazake
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.