Kweli Kati 2 umeona mbali mtu wangu, Hawa Polisi tunawalaumu tu bila sababu, kweli tunapaswa kulipongeza Jeshi letu tukufu, Angalau kwasisi wanamianzini tutapumua maana tulikuwa tunaishi kwa hofu sana kwa mambo ya mabomu, mara tindikali, pigup Jeshi la polisi endeleeni na moyo huwo wa uzalendo
Vodacom mnaboa sana, mnaiibia kupitia huduma zenu mf , sokoni sijajiunga mimessage inaingia muda wote niki-stop ama kucansel haiwezekani ni kero mpaka natamani kuitupa
Anza kwa kutembelea International Scholarships for International Students from Developing Countries 2014-2015 then utapata taratibu zote na mwongozo wa nini cha kufanya. All the best.
Hata Mkuu wa Kaya ni zao la UDSM anayesema haelewi kwanin Tz inakuwa Maskini hali tuna rasilimali za Kutosha, anadai wanafunzi wanaopata Mimba ni Viherere na nimzazi UDSM ni Janga jingine kwa Taifa!
Tamasha limeandaliwa na Jitambue Foundation, kauli mbiu ikiwa "TETEA AMANI OKOA VIZAZI VIJAVYO", Msemaji na mwongoza mada, M/kiti wa Jukwaa la Katiba Mh Deus Kibamba amewasa Vijana wajitolee kupata uzoefu akisisitiza vijana wajipatie uzoefu hata kama ni kulima bustani, ama kazi yoyote ile hata...
Hakikisha unareview kila ulojifunza ndani ya 48 ukilimbikiza ukasubir paper utapanic then utaperform poor! Attend lectures na sikiliza kwa umakini sana! Epuka starehe na anasa! Zaidi ya yote Mtumaini Mungu wako katika njia zako zote wala usizitegemee akili zako Mwenyewe naye atayanyoosha mapito...
Nape majigambo, propaganda, hila, fitna, na kujitoa ufaham ili utekeleze matakwa ya CCM ni vya kupita kama upepo tena kwa kitambo tu! Mkiri Mungu katika mapito yako nawe utaheshika na thawabu yako itakuwa mbele yako Daima!
Ee Mungu waguse majeruhi kwa mkono wako wa uponyaji. Wapendwa tuombee kwa ajili ya wasafiri na vyombo vya usafiri! Walitutoka Mungu awapumzishe kwa pema peponi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.