Search results

  1. instanbul

    Wanafunzi hawa waliopata zero wanaenda wap?

    Yaan zero zaidi ya 100 yaan miaka 4 yote kapa aisee
  2. instanbul

    Hivi Kemebos (Bukoba) wanawezaje kufaulisha wanafunzi kiasi hiki?

    Imagine katibu Darasa zima lina A. Wanafundishane hawa watu. Serikali ipige visit hapo Kemebos ijifunze wanavyofundisha. Picha ya mwisho ni makongo juu secondary school tena wanasoma arts wote lakin tazama majanga.
  3. instanbul

    Kumbe Kilimanjaro na sifa zenu za kujifanya matajiri mkoa wenu una njaa. Kuleni GDP zenu sasa

    Siha. Mkoa wa Kilimanjaro unakabiliwa na changamoto ya ukame, hali ambayo imetajwa kuchangia upungufu wa tani 132,584 za chakula. Hayo yamebainishwa leo Julai 16, 2022 na mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro, Stephen Kagaigai wakati akitoa taarifa kwa makamu wa Rais, Dk Philip Mpango kwenye hafla ya...
  4. instanbul

    Plot4Sale Viwanja vya bei rahisi Kigamboni karibu na bahari

    Aisee wadau, kuna viwanja vimepimwa, viko tambarare karibu na bahari maeneo ya Buyuni centre Kigamboni. Viwanja vipo kuanzia 420sqm hadi 700sqm na bei ni 2,000,000tsh hadi 2,500,000tsh. Nicheck kupitia number hii 0620406081.
  5. instanbul

    Pembeni ya Msikiti atakaouzindua Rais Samia kuna Stendi Kuu ya matope Bukoba. Anaweza asiione kabisa!

    Rais Samia anaenda Bukoba! Najua viongozi wa manispaa ya Bukoba watampitisha sehemu ambazo wanajua wao...na watafanya hasione kabisa uchochoro huu unaoitwa stendi kuu ya mkoa unaochafua mji wa Bukoba. Just imagine atafungua huo msikiti mita mbili kutoka ilipo hii stendi ya umma. Mimi...
  6. instanbul

    Bukoba. Atcl na Precision Air zaanza kuzidiwa abiria. Flights zaongezwa

    Bora wangepanua uwanja wa bukoba na kuwa wa kimataifa zaidi. Maana bukoba watu wengi wanauchumi wa kati na juu. Ingawa uwekezaji wao kwa mkoa wao bado upo chini Bukoba haikupaswa kufanana hiv...
  7. instanbul

    Wilaya za biharamulo na ngara waridhia kuhamia chato kutoka kagera.

    Leo madiwani wa wilaya ya biharamulo wameridhia kuhamia chato.
  8. instanbul

    Mdogo mdogo Wahaya wanarudi kuwekeza kwao. Bukoba itarecover one-day hata Kama serikali haipajali

    Nimeona wenyeji wa mkoa huu wanaanza kurudi mdogo mdogo kuwekeza mkoani kwao. Watu wanajenga Hadi hospital binafsi huko vijijini. Kwa Sasa mkoa wa kagera una hospital zaidi ya 15 huku za serikali ni nne tu. Tazama hospital ya kashambya hospital iliyopo Kata ya Gera misenyi vijijini...
  9. instanbul

    Tukisema stendi ya mkoa wa Kagera ni mbaya ni mbaya kweli. Sasa hapa utakanyaga wapi

    Hiv bukoba kuna mkurugenzi wa manispaa kweli? Vip viongozi wa mkoa? Na je mbunge? Waziri wa tamisemi yupo kweli. Tazama stendi ya bilele huko bukoba. Sasa hapa utakanyaga wap. Na wamearibu kabisa walipomwaga ufongo plus mvua za bukoba
  10. instanbul

    Stendi kuu ya mkoa wa Kagera inahitaji marekebisho

    Wakazi million tatu na laki mbili wanaoishi katika mkoa huu wa kagera hasa mji mkuu wake bukoba wanazidi kushangaa ukimya wa viongozi wa mkoa, wanasiasa, wasomi nk ambao hupita kila siku katika hii stendi (maana ipo katika barabara kuu iingiayo mjini) wanavyojikausha kama haiwahusu vile hiki...
  11. instanbul

    Uchaguzi 2020 Hivi Dkt. Magufuli atasema amefanya nini Bukoba kwa miaka mitano yote siku ya kesho?

    Nasubiri siku ya kesho kuangalia atakachoongea mheshimiwa kuhusu Yale aliyoyatekeleza miaka mitano mjini Bukoba. Kimsingi mji huu yaani manispaa hii hakuna kitu chochote kutoka serikalini kilichotekelezwa. Barabara za mji ni ndogo na mbovu zote wakati hata hazifiki 20 km lakini wakazi wa mji...
  12. instanbul

    Tazama yanayowakuta watu wa Bukoba kisa Wameelimika na wamechagua Upinzani

    Siku zote siku zote CCM huwanasa watu wasio na elimu yoyote. Hebu niwape historia ya Bukoba Kwa ufupi. Tangu kuanzishwa Kwa mji wa Bukoba mwaka 1890 na Wajerumani wakiongozwa na Emin pasha mji huu ulikuwa vizr Tu kama miji mingi tz Hadi mwaka 1919 walipoondoka. 1920-1961 mji uliendelea kukua...
  13. instanbul

    Jinsi sifa na majivuno ya Kihaya zinavyofanya vijiji vya Bukoba kuwa na majumba na mahekalu ya nguvu

    Watanzania acheni kujenga mijini tu. Jengeni hata vijijini kama Wahaya wanavyofanya. Sasa hivi nyumba za hovyo hovyo katika wilaya za Wahaya yaani Bukoba, Misenyi, Karagwe na Muleba zinazidi kupotea, tena vijiji vyingine zinaisha kabisa. Nyumba hizi zingejengwa Bukoba mjini, Bukoba ingekuwa...
  14. instanbul

    Mazishi ya Wahaya siku hizi yanazidi sherehe!!

    Huu ni msiba huko bukoba. Sent using Jamii Forums mobile app
  15. instanbul

    Huku Bukoba kuna nini? Mbona kuna abiria wengi sana wa ndege?

    Abiria 2400 hutumia ndege kila mwezi . Huku mpaka sasa ndege zote zilikuwa zimejaa mpaka tarehe 15!!. Serikali sasa inajuta kujenga uwanja wa chato Bora ingepanua uwanja wa ndege bukoba. Sent using Jamii Forums mobile app
  16. instanbul

    Mwanafunzi wa kidato cha pili afariki akitoka kuangalia matokeo. Alipata daraja la 1.7

    Tumempoteza Mseminari wetu mdogo HONEST MULUKOZI JUVENTUS wa Seminari ya Rubya katika Jimbo Katoliki la Bukoba katika ajali ya pikipiki akitoka kuangalia matokeo yake ya mtihani wa kidato cha pili kwa rafiki yake hapo jana. Alifaulu daraja la kwanza Pointi 7. Tumshukuru MUNGU kwa zawadi ya uhai...
  17. instanbul

    Hongereni Wanamuleba na Kagera kwa ujumla Kwa vijiji vingi kuunganishwa na lami

    Kadiri siku zinavyoenda tangu majanga yaukumbe mkoa huu wa Kagera ndio mkoa unavyozidi kuendelea kimya kimya kurudi katika maendeleo yake ya zamani yalioangushwa na serikali plus hayo majanga. Kwa sasa vijiji vingi mkoani kagera vinafight kujengewa barabara za lami na asilimia kubwa...
  18. instanbul

    Vyuo Vikuu vijifunze kutoka Chuo Kikuu Ardhi (ARU) katika ubunifu

    Hayo yamesemwa na mkuu wa nchi Rais John Pombe Magufuli mbele ya wahitimu huko UDOM. Pia kadiri ya TCU ndio chuo kikuu kinachapota waombaji wengi baada ya UDSM nchini ingawa ni kidogo kieneo. Ila kozi za Ardhi University ni nzuri kwa maana unaweza jiajiri pia mfano Architecture, Interior...
  19. instanbul

    Makao makuu ya Wilaya ya Bukoba Vijijini yahamia Katerero

    Halmashauri ya Wilaya Bukoba imehamia rasmi Katerereo Bukoba Vijijini ili isogeze huduma karibu kwa wananchi zaidi. Hii ni baada ya amri kutoka kwa wakuu kuhamisha makao makuu kutoka mijini.
  20. instanbul

    Kila Nikilala chali naota nyoka wa kutisha.

    Sijui na matatizo gan wachawi, waganga na wajuvi wa njozi mnisaidie. Kila nikilalia medulla oblongata au kulalia kisogo lazima niote ndoto za kutisha za nyoka nyoka saa nyingine kama nakua naye kitandan . Siku nyingine naota kama huyo anataka kuningata lakin nashtuka huku nikiwa na hofu...
Back
Top Bottom