Kwa hiyo kuweka Picha ya makonda ndio anahusika au hamjui kuwa kufanya hivyo tunamwingiza Mr Melo kwenye matatizo?? Tuwe makini kwa sasa mitandao inafuatiliwa sana ndg zangu! Najua nitatukanwa kwa ushauri wangu kwa kuwa Mimi sijui ninacho kifanya;
Hili suala la usalama ni mtambuka kwa sasa na ni vema tunapojadiri kujeruhiwa kwa TL tusisahau kujadiri na wengine waliopoteza maisha na kupotea Kafka mazingira tata mf BS na watu zaidi ya 30 waliouawa kule kibiti na hata walionusurika baada ya kutekwa na watu wanaojiita wasiojulikana
Sent...
Mi nadhani ni vema serikali iendelee kuhamasisha hata akina vijisenti na hela ya mboga warudishe ili vidhibiti viwe vya kutosha ili iwe rahisi kuwatia hatiani na hela zetu tayari zisharudi
Sent from my TECNO-Y3+ using JamiiForums mobile app
[emoji13] [emoji13] [emoji13] kwa kelele hapo umenena! Kwani Mimi nakitumia kama kicho cha jamaa cha lake gas ila mbona hakusumbui kama yy anavyodai? Tena habari ya mkaa nimeishaachana nayo kabisa;
Nimepunguza gharama ya matumizi kwa 60% kwani natumia hadi siku 40 kwa mapishi yote...
Ki vyovyote wansjua ni za nini! Utetezi wao ni laini sana!
Imagine jamaa anakuijia nakuambia njoo nikupe zawadi ya millioni mia! [emoji3] [emoji3] [emoji3] lazima upagawe ikibidi utagoma tu
Nilimshauri tu yeye; wewe na wengine na hata mimi kuepuka matusi tunaposhindwa kujibu/kujenga hoja
Haipendezi kugeuza jamii forum kuwa sehemu wa mmomonyoko wa maadili na nadhani sio lengo la mwanzilishi wake
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.