Search results

  1. S

    Ni wimbo gani unaoutafuta sana bila mafanikio?

    Muimbaji ni Evi Edna ogholi na si Sophia kama wengi wanavyodhani,nyimbo zake zipo u tube check hapa
  2. S

    Ni wimbo gani unaoutafuta sana bila mafanikio?

    Naitafuta wimbo:Ole bado wasumbuka,umeimbwa na juwata jazz
  3. S

    Rais Samia, ni Watanzania gani hao waliokubali hizo tozo?

    Bia ishuke bei,full stop
  4. S

    Tunaomiliki magari ya mzungu tukutane hapa

    Una ushauri gani kuhusu bmw mini cooper,kwa hapa bongo? Sent from my iPhone using JamiiForums
  5. S

    RTO Mstaafu anaswa na binti mdogo

    Ogopa sana binti wa la tano B
  6. S

    Mwizi wa deki G/Mboto atumiwa nyuki

    Kiswahili hicho sio cha uganda,ya uganda ni nyingine
  7. S

    Yanga leo watafungwa 4-0

    Asante kwa taarifa,kaka mchawi
  8. S

    Marekani nayo yatoa tahadhari kwa raia wake kuhusu maandamano ya tarehe 26/4/2018

    Lisu kutibiwa ni shida tena??[emoji134]‍♂️[emoji134]‍♂️
  9. S

    Kuoa Single Mama ni sawa na kunywa soda iliyofunguliwa na kuonjwa

    Only two options now days,aliyezaa nyumbani na aliyetoa mimba(akili kichwani)
  10. S

    Maendeleo ya China yaliletwa na Katiba Mpya?

    Unawezaje kutenganisha katiba na uongozi?hivi shuleni mnasomea ujinga????
  11. S

    Passo na rav4 kilitime mjapan kachemka

    Hivi vigari havifai asee,kuna mtu anako kakanunua juzi juzi,kanagonga balaa,mara injini ivuje,yaana tafrani,alikuwa ananipa lifti mara kwa mara,sasa hivi sitaki hata kukaona,sipandi,sina hamu nako
  12. S

    Uwanja wa Taifa: Simba 2-2 Al masry, Kombe la Shirikisho Afrika

    Kwa kuwa wao hawajui kuroga sana au...!??
  13. S

    Kwenye wakati mbaya na mazingira magumu ndipo huwa Idea zinajitokeza na uvumbuzi na ubunifu huanzia

    Ni kweli mkuu,tuombe hali iwe ngumu zaidi,ili baadae tuwe vzr
  14. S

    Hali halisi haipo kama inavyodaiwa na wapiga kelele wa mitandaoni

    Ninyi wa Masaki hamuuhusik sana na hali halisi
Back
Top Bottom