Nimekuuliza unataka dola za nini? Na unawezaje kuzuia dola isipande? Nchi inapswa iwe na favourable terms of trade (Yaani exports ziwe kubwa kiliko imports) ndipo bei ya dola ita drop
Kuhusu Mahakama siyo kweli kabisa ukichoandika. Mbona yule Mdude_Nyagali mwanaharakati wa CHADEMA aliyetupwa ndani na Magufuli alishinda kesi ya kusadirisha madawa ya kulevya?
Hebu niwekee kesi ambazo wanyonge unaodai walishindwa
Ni lini asiye na pesa alikuwa ni bingwa kwa mwenye pesa. Nikiwa na pesa nakuajiri uwe mlinzi wangu wa usiku na ninakulipa hela. Nakulipa hela bado unataka niwe myonge kwako KAPUKU?
Kwenye dola hata mimi nimfanya biashara. Last September nimefunga mzigo wa Tsh 30 Million kwa kusafiri na Visa...
No wonder!! Hawa wabunge wote wa 2020 walikuwa hand picked na Dikteta mwenyewe. Kwenda kumshukuru siyo jambo la ajabu.
Ila waambie tu 2025 90% ya hao hawatakuwapo
Wacha kujizima data wewe!! Mahakama zilikuwa zilikuwa zinafanya vizuri hadi Magufuli alipokuja na kuzitisha. Alisema haiwezekani Serikali ikashindwa kesi. N akaihakikishia Mahakama kuoongeza fedha ambazo Serikali itakuwa imeokoa toka kwenye kesi inazodaiwa.
Wewe unataka dola za nini? Wanaofanya...
Nitajie kitu kinapungua upngozi huu nami nikupe rekodi ya mafanikio ya mama.
Halafu wewe pimbi acha kuishi kwa kukariri. Hatuko hapa kupingapinga kila kitu cha Serikali. Serikali inapofanya mazuri lazima tuisifie.
Yule mshenzi alikuwa anaua wanaomkosoa, alisimamisha mikutano ya wapinzani...
Magufuli alikuwa na mapungufu mwilini hivyo kusafiri naye kwenye ndege angefia angani. Aliwekewa defibrillator kifuani mwaka 1992 akiwa anasoma UDSM. Sasa miaka zaidi ya 30 kile kifaa kilikwisha choka. Na ndiyo sababu ya yeye kutopenda kusafiri nje ya nchi na wala haikuwa kubana matumizi
Kwani miradi ndiyo nini? Magufuli alikuwa DIKTETA, akanyamazisha bunge na kutuachia bunge la chama kimoja, akaitisha mahakama, akanyamazisha vyombo vya habari.
Mbaya zaidi alikuwa anateka na kuua wapinzani. Alikuwa anachukia matajiri. Mtu yule hafai hata kuwa Mwenyekiti wa kijiji kwa namna ya...
Kwani wewe hujamsikia General Venance Mabeyo? Au nyinyi ndiyo wale shuleni tulikuwa tunawaita VILAZA au WANYELA. Mwalimu anatufundisha wote lakini ukitoka nje hujui kitu
Njoo na points za kunipinga, siyo kusema tu kiurahisi eti "chawa wa mama"!!
Yaani niache kusifia maendeleo na mafanikio ambayo nayaona nchini kusa eti baro ataniita chawa wa mama!!
Nyinyi mliokuwa chawa wa Magufuli mlikuwa mnamshangilia wakati anaharibu na kubomoa nchi. Amekufa na mama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.