mwabie aende pale kilolo iringa pale msimu mzima wanalima,,alime ngegele na mahindi alafu hayo mahindi anakuja kuyauza kama mabichi,,muhind moja kwa shamba wananua sh300,,hakika hela yake hatakua ameiwekeza mahala sahihi
ninapousoma huu uzi machozi yananitoka
-nina biashara ya duka lakni kila nikiuza pesa hazionekani,,na duka yangu imekaa chanel sana
-zaidi na jikuta naingia kwenye madeni ambayo najikuta nashindwa kulipa
-muda mwingine nikifikiria nashindwa pata jibu kwann haya madeni madogo nashindwa kulipa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.