Ni upumbavu ambao haukubaliki wala kuvumilika stend kuu kama hii ya Magufuli Mbezi louis kuendelea kukusanya mapato huku abiria wakitoa pesa zao kwaajiri ya huduma ya choo,Kisha wanaambiwa ni haja ndogo tu maana maji hakuna almost 6hrs now tokea kusitishwa kwa huduma hiyo muhimu.bila hata kutoa...
Pasipo kumung'unya maneno Hali ya usalama wa raia na Mali zao imetikiswa kwa kipindi hiki, matukio ya ujambazi, unyang'anyi, ukwapuaji, na ukabaji yameendelea kushamiri sasa licha ya kuwepo na matamko mbali mbali kutoka kwa wenye dhamana na usalama wa raia.
Kama halijakukuta Basi fanya simple...
Nikitafakari hii kadhia ya hama hama,huku wahusika wakisema ni kuunga juhudi, lakini wapiga zumari wakidai wananunuliwa.
Ni dhahiri shahiri hii inaleta mkanganyiko mkubwa sana kwa sisi wananchi wakawaida,maana ni maramia kuchagua watu wa kutoka CCM ilikuokoa mabilioni yanayoteketezwa kwa chaguzi...
Nidhahiri shahiri kwamba maandamano yanayo endelea huko Iran, ambayo hata kinara wa maandamano hayo hajulika kwa kile wanacho dai ni kutokana na kupanda gharama za bidhaa, ukata wa mfukoni kunako sababishwa zaidi na vikwazo vya hawa ndugu wawili USA na pacha wake ISRAEL,
Nakile kinachodai kuwa...
Ukweli lazima usemwe,
Uhai wa mwanadamu hauna madaraja. Hakuna umashuhuri wala u-VIP linapokuja swala la uhai kwa kila mtu. Nilazima sasa kila mtu ajue kuwa kila roho ya mtu inathamani iliyo sawa. It's a natural equality provided by God. Hajalishi wewe ni wanasiasa, mwanasheria, raia wa...
Kama tujuavyo kwa siku za hivi karibuni kumekuwa na miluzi mingi ya uminywaji wa demokrasia ya kimagharibi mpaka kupelekea wengine kumtuhumu mkulu kwa hili na kubet kwamba swala hili litamsababisha akomee miaka mitano tu kuishi magogoni.
Japo katika uhalisia kwenye field kule tunaona jinsi...
Je waingereza wangeliamua kuharibu miundo mbinu yote waliyoijenga kenya hasa nairobi kama wareno na wafaransa kwenye baadhi ya makoloni.hawa manyang'au wangekuwa vipi yaani? tutafakari kidogo.
Nilisikitika sana mpuuzi mmoja wa kenya kuwaita madaktari wetu eti ni low rated doctors na baadhi ya...
Jana nilimsikiliza Ndugu rais akielezea wachoongea na waziri mkuu wa ethiopia.ikiwa nipamoja na Tanzania kununua umeme kutoka ethiopia kwa minajili ya kwamba bei yao ni nafuu.kwa hili hatakama wangekuwa wanatoa bure siyo kitu cha sisi kama watanzania kufurahi.kikubwa ni sisi tuanza kuzalisha...
Ni miezi kadhaa sasa toka kampeni na uchaguzi mkuu wa USA kupita ambapo kundi kubwa la BAVICHA na kamati yake ya vigeregere kuonesha mahaba mazito kwa mgombea wa Republican huenda kuzidi hata raia wenyewe wa marekani kwa matazamio kwama ushindi wa Trump ungeleta matokeo hasi kwa watawala wa sasa...
SIASA NDANI YA SIASA:
MZEE WANGU YAMKINI MAMBO HAYA UNGELIYAJUA MAPEMA,KIPINDI KILEE! UKIWA KWENYE MFUMO TUNGELIKUWA MBALI SANA NA UNGELIKUWA UMEJIJENGEA HESHIMA KUBWA ZAIDI .BUT NOW IT'S TOO LITTLE TOO LATE:
INAMAANA MBINYO WA KIDEMOKRASIA HUONEKANA PALE TU UNAPOKUWAWA NJE YA CHUNGU? HAPANAA...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.