Mechi ndo zimeisha leo Tunisi vs Zambia ni moja moja wakati Cameroun imepigwa moja na Gabon.
Alafu Essien ndo ameshafika Angola baada ya kukwama kupata ndege toka UK kutokana na mabadiliko ya hali ya hewa
Ivi inakuwaje mtu mzima na akili zako unatoa maamuzi based on sheria za toka 1970s lazima uwe mwoga kama uko timamu otherwise unakaa kimya tuu as utaonekana kituko.
Utu tusheria twa kikoloni kuanzia kwenye BIMA mpka mambo ya habari lazima tuvibadilishe!
Jamani mimi sishangai maisha ya watz wengi ni maafa tuu thus mtu akiona ivyo anatake easy tofauti na wenzetu maisha yao ni shavu kwa kwenda mbele.
Above all kutoa ni moyo ila uwe nacho sasa cha kutoa!
Hakuna kitu kibaya kama kumtuhumu mtu bila kuwa na ushaidi mtu mzima waweza onekana mzushi bure.
Kama ni kweli twaitaji testmonies tafadhali otherwise JF isiwe kijiwe cha majungu as ata HADHI yake yaweza shuka.Currently watu wengi wanajua apa ndo credible source ya info on Tz mazuri na mabaya...
Tunayaona ya BoT, hayana mjadala kazi inafanyika na chini ya uongozi wa nani?
Mbona kafara ni ya Balali tuu,na wadogo wadogo wengine
-Tunayaona ya kina Lowassa, kazi inafanyika na chini ya uongozi wa nani?
Infact ni shinikizo la Kamati ya Mwakyembe na Bunge otherwise ilibidi awe proactive...
Natumai JF itazidi kupasua anga na nawakaribisha wale wote ambao wamejoin recently.
To me naona ni haki ya kila mtanzania kupata the right information at the right time ili aweze jua nini kinachoendelea ndani na nje ya Taifa la Tanzania.
Mungu ibariki JF,idumu milele
Cuba's ailing leader Fidel Castro has announced he will not return to the presidency, in a letter published by official Communist Party paper, Granma.
"I neither will aspire to, nor will I accept, the position of president of the council of state and commander in chief," he wrote in the...
Cuba's ailing leader Fidel Castro has announced he will not return to the presidency, in a letter published by official Communist Party paper, Granma.
"I neither will aspire to, nor will I accept, the position of president of the council of state and commander in chief," he wrote in the...
A "large" US spy satellite has gone out of control and is expected to crash to Earth sometime in late February or March, government sources say.
Officials speaking on condition of anonymity said the satellite had lost power and propulsion, and could contain hazardous materials.
The White...
Nasikia ratiba yake kwa Africa ni kama ifuatvyo
Benin - Cotonou: arrival ceremony, meets president
Tanzania - Dar es Salaam: meets president, tours hospital; Arusha: tours hospital, textile mill and girls' school
Rwanda - Kigali: meets president, visits genocide memorial
Ghana - Accra...
Daimon na Harrison ninavyowafahamu ni mtu na mdogo wake meaning Daimoni ni mkubwa na Harrison ni mdogo wote wakiwa wanatokea Mbeya,wilaya ya kyela kijiji cha Ikolo.
Ni kama mnaochangia humu labda hamjawai ishi Tz na kusoma aya mambo Tz.
Kwa mtu aliyesoma na kukulia ktk elimu ya tz,Ni obvious mara nyingi UDSM wamekuwa wakiweka nguma the rising of new universities kisa Fungu, kama MU nakumbuka akina Warioba walipata shida mno kumbe ishu ni fungu!Thanks to...
Ni kama mnaochangia humu labda hamjawai ishi Tz na kusoma aya mambo Tz.
Ni obvious mara nyingi UDSM wamekuwa wakiweka nguma the rising of new universities kama MU nakumbuka akina Warioba walipata shida mno kumbe ishu ni fungu!Thanks to mama Mary Nagu yeye alisimamia kidete ilo naona bse mme...
Problem ya CCM huwa wanazani kuwa there is nothing bad that can come out of the Opposition party ndo maana wanajikajaga.
After all suala who deserves credit its common sense kuwa Media na Wapinzani since CCM sers yao ya Kulindana ndo imewadiscredit.
Watumia ela za nchi kukrash hoja za...
Frankly speaking nimekelwa na kubaki kwa Chenge na Kapuya anyway labda watajirudi.May the lord enlighten them so that they may accomplish their tactical and strategic tasks for the interest of the nation and not otherwise.
Si mshangai ni hulka ya watanzania kuwa waoga,hasa kwa viongozi wao ambazo ni zama za kale tena enzi za machief sio ulimwengu wa sasa.
Come back to your senses bi 50 otherwise uhuru wa mtu kuongea na kutoa chochote kile or kushare na wenzio kwa namna yoyote ile ni vyema as long as anachoandika...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.