TAARIFA KWA WAZEE WENZAGU
Ndg zangu wakubwa na wadogo habarini za mchana huu...
Nmekuja kwenu ndugu zangu na maskitiko makubwa na taarifa ya kuacha mchezo huu wa kubashiri swala hili limekuja baada ya kupoteza kiasi cha ml4 ndani ya mda wa wiki moja
Na jana nimepoteza laki saba kwa mechi ya...
Siwezi kukukatalia mawazo yako kama utaweza kuacha acha tu boss
Mimi kipindi naanza kubet msimu uliopita nilifundishwa rafki angu mmoja napenda kumuita Mo Salah wiki mbili hazikuisha kuna mkeka tulisuka wa mechi 30 tukampiga mhindi mimi ml19 kwa buku Mo salah ml39
Ile pesa nilitoa nikaacha...
Mimi kipindi naanza mwaka jana kubeti nilifundishwa na jamaagu namuitaga Mo salah hazikufika hata miezi miwili nikampiga mhindi ml19 kwa buku keka la mechi 30
ile pesa niliitoa ml2 nikaiacha kwaajiri ya mtaji ikaisha yote, napenda kubeti singo kwa kipindi kifupi tu
Simba amesepa na 700k...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.