Search results

  1. M

    Kwa Kijana yeyote aliye mwanachama na mkereketwa wa CCM

    Mimi naweza kuwa na mtazamo mwingine watu husema 'if you cant fight them join them'.Hapa nina maana kwamba kwa vijana wanaoenda sasa ccm ni kwamba wameshindwa kupigana wakiwa inje sasa wanaona ni wakati mzuri wa kuingia ndani nakupigana ili waweze kupigana na hao mafisadi na kuwashida.
  2. M

    Hivi tanzania hatuna ajenda??????

    usisahau kwamba watu husema kipya kinyemi, na hili jambo la loliondo ni jipya si muda litasahaulika na tutarudi kwenye hizo hoja zako VUMILIA KIDOGO.
  3. M

    FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

    Kama arsenal hawatapata balaa la kuumia tutegemee mchezo mzuri siku ya marudiano.Lakini bado naiogopa sana Barca.
Back
Top Bottom