Mimi naweza kuwa na mtazamo mwingine watu husema 'if you cant fight them join them'.Hapa nina maana kwamba kwa vijana wanaoenda sasa ccm ni kwamba wameshindwa kupigana wakiwa inje sasa wanaona ni wakati mzuri wa kuingia ndani nakupigana ili waweze kupigana na hao mafisadi na kuwashida.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.