Leo January 20, 2018 Siku chache zilizopita Rais Kagame wa Rwanda alifanya ziara ya kikazi nchini na kuzungumza na President JPM juu ya ujenzi wa reli ya umeme, sasa GOOD NEWS ni kwamba Mawaziri watatu wa Tanzania na mmoja kutoka nchini Rwanda wamesaini mikataba ya awali kuhusu ujenzi wa reli...
Haijapita hata miezi mitatu toka tushuhudie Jeshi likiingilia kati na kumuondoa madarakani Rais aliekaa muda mrefu madarakani, Robert Mugabe wa Zimbabwe….. leo tena tunasikia huko Congo DRC Mwanajeshi mmoja ampa Rais Kabila siku 45 awe ameachia madaraka.
Tunafahamu kwamba Rais Kabila alimaliza...
Habari,
Mimi ninashida ya mayai ya kizungu kwa hapa Dar es salaam ,shida yangu Ni trei 10 kwa siku ,Kama wewe Ni mfugaji na upo hapa dar itakuwa vizuri tufanye biashara
Wakuu naomba kujuzwa ,mimi nataka kufahamu iwapo mtu umehitimu form IV na matokeo yako yanakuruhusu kwenda Advance na ukaaamua usiende advance na uende chuo ,jee Unaweza / unaruhusiwa kuanza diploma moja kwa moja ?
Wajuzi wa mambo mm n mtoto wa juzi tuu hapa 1994 naomba kujuzwa nn hasa chanzo cha kutoelewana baina ya Korea kusini na kaskazini na uhasama huu ulianza lini?
NOTE: Kama hujisikii kujibu kaa kimya Dharau n kejeri SIPENDI
Mtu mmoja amefia nyumba ya wageni "Lodge" hapa Magomeni Kagera eneo maarufu kama "Friends Corner "Lodge ya Jumba la Dhahabu ,Haijafahamika mpaka sasa kama ni Mwanaume au Mwanamke, ILA kwa tetesi za watu wanadai ni mwanamke na Polisi hawakuweza kuzungumzia swala hili wala kuonesha mwili
Wana JF,
Inaonesha kwamba Polisi wa kanda maalumu ya Dar es salaam chini ya Kamanda Sirro wameshindwa kudhibiti matumizi ya waziwazi ya Madawa ya Kulevya Eneo la Mwenge Jijini Dar es salaam
Eneo la Mwenge kwenye uwanja wa mpira karibu na Kanisa la KKKT Mwenge ukiiangalia hyo Ramani hapo huo...
Wanabodi kama unatumia usafiri wa mabasi ya UDART na ushawahi Kupandia basi maeneo ya Gerezani terminal nazani ushapata karaha ya kuscan ticket yako muda mrefu baada ya kununua pale terminal, mitambo ya kuscan tickets inasumbua sana tena sana kiasi cha wahudumu kuamua kutumia TOCHI tena MCHANA...
Wakuu nipo maeneo ya Yombo Sigara mkabara na Airport hapa Dar es salaam kuna wingu zito la moto ndani ya uwanja wa ndege kama mnavyoona, aliyekuwepo maeneo hayo ajaribu kutupa maelezo.
=======
UFAFANUZI:
JamiiForums imefuatilia na kubainisha kuwa TAA wanafanya emergency drill na hivyo watu...
Kuna mtu / watu wanajaribu kutetea wauza unga mpka najiuliza " Hivi Watanzania kwnn ni VICHWA MAJI?
Chokochoko dhidi ya RC Makonda khusu vyeti imeletwa na mtuhumiwa Yule Mpuuzi, maana hana hadhi ya UCHUNGAJI hta kdogo, yaani hata
Kidogo, hii ndyo maana ya mchungaji
Mchungaji mwema yukoje...
Picha zinakuja sasa hivi ila Ajali imetokea Sasa Hivi maeneo ya Magomeni na Kuna foleni sana kwa watu wanaotoka mjini kwenda Manzese kipande hiki mpka maeneo ya Friends coner kwenye Hotel ya JUMBA LA DHAHABU
Magari ya mwendokasi yanalazimika kupita barabara ya kawaida maana njia yake imeziba...
Zaidi ya Masaa 24 kutoka sasa Maji yanatiririka Hapa Ilala Mtaa wa Lindi, na huu mtaa ni mkubwa na barabara yake inapitwa na magari mengi sana kutoka Machinga complex, Shaurimoyo hadi Ilala Bungoni na wenye kuupita huo mtaa kuanzia jana nazank mmeona,
Yani mpka najiuliza iweje maji yavuje...
Wakuu,
Ili niweze kuwa rubani wa ndege napaswa kuchagua course ipi na chuo gani kizuri? But now nipo Advance na Combination ya masomo ninayosoma ni PGM yaani Physics, Geography & Mathematics.
Nawasilisha
Wakuu,
NImepita hapa eneo la Buguruni kwenye kiwanda cha Said Salim Bakheresa & Co Ltd ambapo reli ya kati imekatiza kwenye barabara ya Mandela kuna zoezi la bomoabomoa linaloendeshwa na kampuni ya reli Tanzania (TRL) dhidi ya watu waliofanya maendelezo ndani ya eneo la reli, nmeshndwa kupiga...
Hizi tovuti kwa Uwelewa wangu huwa zipo tofauti, mfano
Ukiona www.qqqqq.co.tz =maana yake ni domain ya Tanzania (.co.tz) yaani Tz kama Tanzania
Kenya vlevle ni co.ke
Uganda ni co.ug
Japan ni co.jp
Swali: Kwanini South Africa wanatumia co.za?
Nn kirefu cha Za?
Kwnn wasiseme .co.sa...
*Tangu ninunue blender*
Maisha ni simpleeee.....[emoji106]
Asubuhi nikitaka Uji naweka maji moto nadumbukiza ugali wa Jana....
*Uji tyari*[emoji108][emoji818]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji113]
[emoji125][emoji125][emoji125]
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.