!@#$^^^
Hii inachochea watu kutofanya kazi kwa bidii ili waonekane wana mapenzi ya dhati...
..
Mapenzi hayahusiani na umaskini wala utajiri ila nadhani ukiwa maskini sana "WENYE NAZO" watamdoea mpenzi wako...!
!@#$%^^^
Hongera sana Tido Muhando...
Wenye magamba waelewe kwamba "Mungu si JK" na kwamba "Jitihada (Zao) hazishindi kudura"..
Uko huru sasa... Anika uozo wao hasa uozo wa karibuni wa Trilioni 3 unaomuhusu Lt. Gen. Shimbo na wenye magamba wenzake..!
Tunaomba uwe sauti yetu duniani kote..!
Uongo kwenye jukwaa si mzuri... uadilifu uko wapi..?
Ukidanganya kwenye madogo utazoea utahamia kwenye makubwa...
Watu wabaya (wakiwemo na mafisadi) wanaanza hivi..!
Nafanya tafakari....
Naiona nchi yenye maziwa na asali...
Naona viongozi wake wasiojali...
Bila huruma wakijitafunia za wote rasilimali.!
Naona wananchi wake maskini..
Wengi wao wakiwa bado usingizini..
Nawaona wachache wakiwa katika maamkizi..
Wakizinduana toka wa muda mrefu usingizi.!
Naona...
Nawatakieni nyote heri na fanaka katika maadhimisho ya SIKU YA BARA LETU..., Afrika...! Tujiulize: Tunatoka wapi..? Tuko wapi..? Tunaenda wapi..? Kuna lolote la kujivunia.? Kuna dalili ya kufika tuendako..?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.